Kampuni ya Tigo Yaadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika kwa kushirikiana na wadau kwenye viwanja vya JKY Park Jijini Dar Es Salaam

Kampuni ya Tigo Yaadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika kwa kushirikiana na wadau kwenye viwanja vya JKY Park Jijini Dar Es Salaam - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Kampuni ya Tigo Yaadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika kwa kushirikiana na wadau kwenye viwanja vya JKY Park Jijini Dar Es Salaam, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Kampuni ya Tigo Yaadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika kwa kushirikiana na wadau kwenye viwanja vya JKY Park Jijini Dar Es Salaam
kiungo : Kampuni ya Tigo Yaadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika kwa kushirikiana na wadau kwenye viwanja vya JKY Park Jijini Dar Es Salaam

soma pia


Kampuni ya Tigo Yaadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika kwa kushirikiana na wadau kwenye viwanja vya JKY Park Jijini Dar Es Salaam




Meneja mauzo na masoko wa taasisi ya Shule Direct Shaweji Steven (kushoto) akimuonesha Meneja Mawasiliano ya Umma kutoka kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Woinde Shisael (kulia) kifaa cha kusoma vitabu kwa njia ya mtandao kwa ajili ya wanafunzi wa elimu ya sekondari wakati wa maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika viwanja vya Jakaya Kikwete jijini Dar es Salaam mapema leo.

Mtaalamu wa kutengeneza roboti inayotumika kwa kuchezea watoto,Mkufu Tindi (aliyekaa) akitoa maelezo kwa Meneja Mawasiliano ya Umma wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Woinde Shisael (katikati) wakati wa maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika viwanja vya Jakaya Kikwete jijini Dar es Salaam mapema leo.


Meneja Mawasiliano ya Umma wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Woinde Shisael akizungumza na waandishi wa habari wakati wa maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika viwanja vya Jakaya Kikwete jijini Dar es Salaam mapema leo.
Watoto mbalimbali waliofika kwenye maadhimisho  maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika viwanja vya Jakaya Kikwete jijini Dar es Salaam mapema leo.
Watoto wakiwa katika picha ya pamoja katika  maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika viwanja vya Jakaya Kikwete jijini Dar es Salaam mapema jana.


Hivyo makala Kampuni ya Tigo Yaadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika kwa kushirikiana na wadau kwenye viwanja vya JKY Park Jijini Dar Es Salaam

yaani makala yote Kampuni ya Tigo Yaadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika kwa kushirikiana na wadau kwenye viwanja vya JKY Park Jijini Dar Es Salaam Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Kampuni ya Tigo Yaadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika kwa kushirikiana na wadau kwenye viwanja vya JKY Park Jijini Dar Es Salaam mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/kampuni-ya-tigo-yaadhimisha-siku-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Kampuni ya Tigo Yaadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika kwa kushirikiana na wadau kwenye viwanja vya JKY Park Jijini Dar Es Salaam"

Post a Comment