BAADA YA KUTOLEWA NA TIMU YA DARAJA LA KWANZA MICHUANO YA SPORTPESA SUPER CUP,SIMBA WAVUNJA KAMBI RASMI

BAADA YA KUTOLEWA NA TIMU YA DARAJA LA KWANZA MICHUANO YA SPORTPESA SUPER CUP,SIMBA WAVUNJA KAMBI RASMI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BAADA YA KUTOLEWA NA TIMU YA DARAJA LA KWANZA MICHUANO YA SPORTPESA SUPER CUP,SIMBA WAVUNJA KAMBI RASMI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BAADA YA KUTOLEWA NA TIMU YA DARAJA LA KWANZA MICHUANO YA SPORTPESA SUPER CUP,SIMBA WAVUNJA KAMBI RASMI
kiungo : BAADA YA KUTOLEWA NA TIMU YA DARAJA LA KWANZA MICHUANO YA SPORTPESA SUPER CUP,SIMBA WAVUNJA KAMBI RASMI

soma pia


BAADA YA KUTOLEWA NA TIMU YA DARAJA LA KWANZA MICHUANO YA SPORTPESA SUPER CUP,SIMBA WAVUNJA KAMBI RASMI

Mwambawahabari
DSC_0330-640x426
Baada ya kuondoshwa kwenye michuano ya SportPesa na timu ya daraaja la kwanza inayoshiriki nchini Kenya ,uongozi wa timu ya Simba umevunja kambi rasmi na kuamua kuwapa mapumziko wachezaji kabla ya kurejea kwa mara nyingine kujiwinda na msimu ujao wa ligi kuu ya Tanzania bara.
 
Makamu wa rais wa Simba,Geofrey Nyange Kaburu amesema kuwa mapumziko hayo hayawatahusu viongozi kwani kwa upande wao bado wanaendelea na mchakato wa usajili na maswala mbalimbali yanayohusiana na klabu.
 
Kaburu alisema kwamba kwa sasa uongozi ushafanikiwa kukamilisha usajili wa wachezaji wawili ambao ni Jamali Mwambeleko kutoka timu ya Mbao FC pamoja na Yusuf Mlipili toka Toto African iliyoshuka daraja ambao  jana walionekana kwenye kikosi cha Simba kilichocheza dhidi ya timu ya Nakuru All Stars.
 
Alisema kwamba hata swala la mchezaji Emanuel Okwi kama lipo kwenye mapendekezo ya mwalimu basi uongozi utalifanyia kazi kupitia kamati yake ya usajili inayongozwa na Zakaria Hans Pope.


Hivyo makala BAADA YA KUTOLEWA NA TIMU YA DARAJA LA KWANZA MICHUANO YA SPORTPESA SUPER CUP,SIMBA WAVUNJA KAMBI RASMI

yaani makala yote BAADA YA KUTOLEWA NA TIMU YA DARAJA LA KWANZA MICHUANO YA SPORTPESA SUPER CUP,SIMBA WAVUNJA KAMBI RASMI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BAADA YA KUTOLEWA NA TIMU YA DARAJA LA KWANZA MICHUANO YA SPORTPESA SUPER CUP,SIMBA WAVUNJA KAMBI RASMI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/baada-ya-kutolewa-na-timu-ya-daraja-la.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BAADA YA KUTOLEWA NA TIMU YA DARAJA LA KWANZA MICHUANO YA SPORTPESA SUPER CUP,SIMBA WAVUNJA KAMBI RASMI"

Post a Comment