title : BARNABA AWAKOSHA WANA MBEYA KATIKA BASH LA CHUO CHA UHASIBU JIJINI HUMO
kiungo : BARNABA AWAKOSHA WANA MBEYA KATIKA BASH LA CHUO CHA UHASIBU JIJINI HUMO
BARNABA AWAKOSHA WANA MBEYA KATIKA BASH LA CHUO CHA UHASIBU JIJINI HUMO
Mwana muziki wa muziki wa kizazi kipya Bongo Freva maarufu kwa jina la Barnaba akifanya makamuzi ya nguvu kwa stage huku mashabiki wa muziki wake wakimpokea kwa kushangilia jinsi anavyoenda nao sawa katika sherehe ya kukaribisha awamu nyingine katika nyanja mbalimbali kwa wanafunzi wa chuo cha Uhasibu jijini Mbeya..PICHA ZOTE NA MR,PENGO MICHUZI MEDIA.
Baadhi ya wanafunzi na wapenda burudani wa jiji la Mbeya wakishangweka na muziki mzuri kutoka kwa Barnaba boy aliyekuwa akiwapagawisha kwenye stage usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Tughimbe Jijini Mbeya.
Hivyo makala BARNABA AWAKOSHA WANA MBEYA KATIKA BASH LA CHUO CHA UHASIBU JIJINI HUMO
yaani makala yote BARNABA AWAKOSHA WANA MBEYA KATIKA BASH LA CHUO CHA UHASIBU JIJINI HUMO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala BARNABA AWAKOSHA WANA MBEYA KATIKA BASH LA CHUO CHA UHASIBU JIJINI HUMO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/04/barnaba-awakosha-wana-mbeya-katika-bash.html
0 Response to "BARNABA AWAKOSHA WANA MBEYA KATIKA BASH LA CHUO CHA UHASIBU JIJINI HUMO"
Post a Comment