WAAJIRI WAASWA KUTOWANYANYASA WAFANYAKAZI

WAAJIRI WAASWA KUTOWANYANYASA WAFANYAKAZI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAAJIRI WAASWA KUTOWANYANYASA WAFANYAKAZI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAAJIRI WAASWA KUTOWANYANYASA WAFANYAKAZI
kiungo : WAAJIRI WAASWA KUTOWANYANYASA WAFANYAKAZI

soma pia


WAAJIRI WAASWA KUTOWANYANYASA WAFANYAKAZI

Mkuu wa wilaya ya Monduli Idd Kimanta akihutubia siku ya wafanyakazi duniani mkoani Arusha,ambapo alimuwakilisha mkuu wa mkoa Mrisho Gambo.
Maandamano ya wafanyakazi kama yanavyoonekana pichani Jijiji Arusha.
Maandamano yakiendelea kuelekea katika uwanja wa Shekhe Amri Abeid Karume Jijiji Arusha.




Na Vero Ignatus,Arusha

Mkuu wa Wilaya ya Monduli Iddi Kimanta amekenea vikali tabia ya baadhi ya Waajiri wakorofi wanaowanyanyasa Wafanyakazi wao na kuwataka Viongozi wa vyama vya Wafanyakazi kuwachukulia hatua mapema pale watakapobainika.

Amesema hayo wakati akitubia katika Siku ya Wafanyakazi mkoani Arusha akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambapo Mrisho Gambo ambapo amewataka waajiri wajiepushe na vitendo vya unyanyasaji kwani sheria itafuata mkondo wake.

"Hatutamfumbia macho baadhi ya waajiri wakorofi wanaowanyanyasa wafanyakazi wao vyama vyavwafanyakazi fanyeni jitihada kuwabaini ili wachukuliwe hatua kali za kisheria.alisema Kimanta.''

Mhe.Kimanta amewataka Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi kutatua kero za wafanyakazi badala ya kusubiri siku ya wafanyakazi na kutoa kero zao.

Nae Mwenyekiti wa shirikisho la vyama vya Wafanyakazi mkoani Arusha (TUCTA) Lota Laizer ameiomba serikali itoe nyongeza ya mishahara pamoja na ongezeko la asilimia la 1 la kila mwaka kama ilivyo matakwa ya sheria.

Aidha Laizer amewataka Wafanyakazi kuwa viongozi wa kisiasa wanatekeleza majukumu yao bila kukiuka sheria za wafanyakazi na kutumia lugha za kuwadhalilisha wafanyakazi.


Hivyo makala WAAJIRI WAASWA KUTOWANYANYASA WAFANYAKAZI

yaani makala yote WAAJIRI WAASWA KUTOWANYANYASA WAFANYAKAZI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAAJIRI WAASWA KUTOWANYANYASA WAFANYAKAZI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/05/waajiri-waaswa-kutowanyanyasa.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "WAAJIRI WAASWA KUTOWANYANYASA WAFANYAKAZI"

Post a Comment