RC Mongella agoma kufungua mradi, rungu lamuangukia Mhandisi

RC Mongella agoma kufungua mradi, rungu lamuangukia Mhandisi - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RC Mongella agoma kufungua mradi, rungu lamuangukia Mhandisi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RC Mongella agoma kufungua mradi, rungu lamuangukia Mhandisi
kiungo : RC Mongella agoma kufungua mradi, rungu lamuangukia Mhandisi

soma pia


RC Mongella agoma kufungua mradi, rungu lamuangukia Mhandisi

Ukaguzi wa mradi wa maji wa kisima kirefu katika Kijiji cha Matela, Kata ya Isangijo wilayani Magu.
Ukaguzi wa mradi wa uzalishaji mali wa kikundi cha ESM Kangara ambapo kinajihusisha na ufugaji wa kuku, bata, njiwa, mbwa na paka.
 Ukaguzi wa Zahanati ya Bundilya wilayani Magu.
Jiwe la Msingi la Kituo cha Afya cha kwanza kujengwa wilayani Magu.
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella kwenye ukaguzi wa Kituo cha Afya Nyerere kilichopo Kata ya Kangara wilayani Magu.
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa pamoja na viongozi mbalimbali ngazi ya Wilaya anaendelea na ziara ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo mkoani Mwanza. Hapa Mongella akiwasili kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Lumnve iliyopo Kata ya Bujora wilayani Magu.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella kwenye ukaguzi wa kisima kirefu cha maji Isangijo ikiwa ni moja ya visima 16 vinavyochimbwa wilayani Magu ili kuondoa adha ya maji kwa wananchi.
Ukaguzi wa shamba la miti la Bahati Kwangu ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Busekwa, Kata ya Bujashi wilayani Magu lenye miti zaidi ya elfu 10 likiwa na ukubwa wa Hekali saba, lengo likiwa ni kuhifadhi mazingira pamoja na kitega uchumi kwa baadae.
Ukaguzi wa Zahanati ya Isangijo wilayani Magu.

Ukaguzi wa shughuli za kikundi cha wazalishaji mali cha "Meremeta Leather Group" wilayani Magu kinachojihusisha na utengenezaji wa bidhaa za ngozi ikiwemo viatu.
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella alitembelea Shule ya Musabi wilayani Magu ambapo kuna klabu ya TAKUKURU kwa wanafunzi wa shule ya msingi.
Wanafunzi wakafurahi kukutana na viongozi wao.
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akaweka jiwe la msingi la ujenzi wa madarasa katika Shule ya Sekondari Maligisu wilayani Kwimba.
Wananchi wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella alipotembelea Shule ya Sekondari Maligisu wilayani Kwimba.
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella aligoma kuweka jiwe la msingi kwenye mradi wa maji Kadashi wilayani Kwimba ambao ulianza mwaka 2013 ambapo aliagiza mradi huo ukamilike na kutoa maji katika magati yote 21 ifikapo Juni Mosi 2019.
Tazama BMG Online TV hapa chini


Hivyo makala RC Mongella agoma kufungua mradi, rungu lamuangukia Mhandisi

yaani makala yote RC Mongella agoma kufungua mradi, rungu lamuangukia Mhandisi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RC Mongella agoma kufungua mradi, rungu lamuangukia Mhandisi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/05/rc-mongella-agoma-kufungua-mradi-rungu.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "RC Mongella agoma kufungua mradi, rungu lamuangukia Mhandisi"

Post a Comment