NUKUU ZA NDG. HUMPHREY POLEPOLE KWENYE DARASA LA ITIKADI - CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI KATA YA MABIBO

NUKUU ZA NDG. HUMPHREY POLEPOLE KWENYE DARASA LA ITIKADI - CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI KATA YA MABIBO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NUKUU ZA NDG. HUMPHREY POLEPOLE KWENYE DARASA LA ITIKADI - CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI KATA YA MABIBO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NUKUU ZA NDG. HUMPHREY POLEPOLE KWENYE DARASA LA ITIKADI - CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI KATA YA MABIBO
kiungo : NUKUU ZA NDG. HUMPHREY POLEPOLE KWENYE DARASA LA ITIKADI - CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI KATA YA MABIBO

soma pia


NUKUU ZA NDG. HUMPHREY POLEPOLE KWENYE DARASA LA ITIKADI - CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI KATA YA MABIBO


1. " Ukiwa Mwanachama wa CCM lazima usome na uelewe kuhusu Chama chetu tunataka kuendesha Chama chetu kisayansi, tunataka kuendesha Chama chetu kisasa ili tutimize shabaha ya kuwatumikia watanzania kwa uaminifu, uadilifu na  kwa kasi zaidi" Ndg. Polepole

2. "Mageuzi ya Chama chetu yanakwenda sambamba na kuhakikisha kuwa tunakuwa na Viongozi  waaminifu, wachapakazi, wanachukizwa na rushwa na wanaokubalika ndani ya Chama na nje ya Chama ndani ya Jamii" Ndg. Polepole

3. "Wapo watu wamechagua kutubeza, kumbeza Rais wetu na kubeza maendeleo ya wananchi, wanaCCM tusimame imara na tukitetee Chama chetu na Serikali yetu wakati wote" Ndg. Polepole

4. "Siku hizi hapa Tanzania CCM ndio habari ya mjini, watu wote tunaojitambua tupo CCM upende usipende huo ndio uhalisia" Ndg. Polepole

5. "Mwaka jana 2018 Rais wetu amefanya kitendo ambacho Afrika nzima hakuna nchi imewahi kufanya, alipoona wanunuzi wakorosho wanawalangua wakulima Serikali ilifanya uamuzi  wa kununua Korosho yote sio ipate faida bali  istiri jasho la mkulima" Ndg. Polepole

6. "Tunatoa wito ifike wakati Serikali itunge sheria ya kuwaratibu madalali hawa wana wanyonya sana wakulima" Ndg. Polepole

7. "Tukapojua wapi  kuna shida za watu tukazitatua tutakuwa na nafasi nzuri sana kwenye chaguzi" Ndg. Polepole

8. "Chama tunampango uliyotukuka wa kuwatumikia watanzania kwa vizazi vitatu, kizazi cha kwanza 2025 - 2050, kizazi cha pili 2050 - 2075 na kizazi cha tatu 2075 - 2100 na hapa Tanzania itakuwa zaidi ya ulaya" Ndg. Polepole 

Imetolewa na,
IDARA YA ITIKADI NA UENEZI
CHAMA CHA MAPINDUZI




Hivyo makala NUKUU ZA NDG. HUMPHREY POLEPOLE KWENYE DARASA LA ITIKADI - CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI KATA YA MABIBO

yaani makala yote NUKUU ZA NDG. HUMPHREY POLEPOLE KWENYE DARASA LA ITIKADI - CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI KATA YA MABIBO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NUKUU ZA NDG. HUMPHREY POLEPOLE KWENYE DARASA LA ITIKADI - CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI KATA YA MABIBO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/04/nukuu-za-ndg-humphrey-polepole-kwenye.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NUKUU ZA NDG. HUMPHREY POLEPOLE KWENYE DARASA LA ITIKADI - CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI KATA YA MABIBO"

Post a Comment