JUVENTUS YAWEKA REKODI MPYA ULAYA NA ITALIA BAADA YAKUTWAA TAJI LA LIGI MARA 8 MFULULIZO

JUVENTUS YAWEKA REKODI MPYA ULAYA NA ITALIA BAADA YAKUTWAA TAJI LA LIGI MARA 8 MFULULIZO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JUVENTUS YAWEKA REKODI MPYA ULAYA NA ITALIA BAADA YAKUTWAA TAJI LA LIGI MARA 8 MFULULIZO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : JUVENTUS YAWEKA REKODI MPYA ULAYA NA ITALIA BAADA YAKUTWAA TAJI LA LIGI MARA 8 MFULULIZO
kiungo : JUVENTUS YAWEKA REKODI MPYA ULAYA NA ITALIA BAADA YAKUTWAA TAJI LA LIGI MARA 8 MFULULIZO

soma pia


JUVENTUS YAWEKA REKODI MPYA ULAYA NA ITALIA BAADA YAKUTWAA TAJI LA LIGI MARA 8 MFULULIZO


Na Bakari Madjeshi wa Michuzi TV 

Klabu ya Soka ya Juventus ya Italia imeweka rekodi mpya barani Ulaya na nchini Italia baada yakutwaa taji la Ligi Kuu Soka nchini humo maarufu kama Serie A mara nane mfululizo. Hii  inakuwa timu ya kwanza kuweka rekodi hiyo, ambapo hakuna timu katika Ligi tano bora la Ulaya iliyofanya hivyo. 

Juventus maarufu kwa jina la Bianconeri ilikuwa ikihitaji alama moja tu katika mchezo wake waliotandikwa bao 2-1 na SPAL, hivyo ikashindikana kutangaza ubingwa huo, katika mchezo wake dhidi ya Fiorentina, Juventus iliondoka na ushindi wa bao 2-1, hivyo kutangaza ubingwa huo. 

Katika mchezo huo dhidi ya Fiorentina, Juventus walitoka nyuma kwa bao la Nikola Milenkovic dakika ya 6, kabla ya Alex Sandro kusawazisha dakika ya 37 na bao lakujifunga la Beki wa Kati wa Fiorentina, Germàn Pezzella dakika ya 53, hivyo kufanya jumla ya bao 2-1.

Ushindi huo umepelekea Juventus kutwaa taji la Serie A mara 8 mfululizo, rekodi ambayo haijawekwa na timu yoyote katika bara la Ulaya. Ikiwa na mchezo 150 katika Uwanja wake wa nyumbani, imeshinda michezo 127, mabao yakufunga 335.

MAX ALLEGRI AWEKA REKODI YA KOCHA WA KWANZA KUTWAA MATAJI MATANO MFULULIZO 

Kocha Mkuu wa Juventus, Max Allegri baada ya timu hiyo kutwaa Ubingwa wake mara nane mfululizo, anakuwa Kocha wa kwanza kutwaa mataji matano ya Ligi (Serie A).

Allegri anatwaa mataji hayo matano baada yakuachiwa mikoba na Kocha Antonio Conte aliyetwaa mataji hayo mara tatu. 

Rekodi hiyo inamuweka Kocha huyo katika nafasi ya pili, nyuma ya Giovanni Trapattoni anayeshikilia mataji Saba ya Serie A.

Juventus watakabidhiwa Kombe lao katika mchezo unaofuata dhidi ya Atalanta, nyumbani. 


Kocha Mkuu wa Juventus, Max Allegri


Hivyo makala JUVENTUS YAWEKA REKODI MPYA ULAYA NA ITALIA BAADA YAKUTWAA TAJI LA LIGI MARA 8 MFULULIZO

yaani makala yote JUVENTUS YAWEKA REKODI MPYA ULAYA NA ITALIA BAADA YAKUTWAA TAJI LA LIGI MARA 8 MFULULIZO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala JUVENTUS YAWEKA REKODI MPYA ULAYA NA ITALIA BAADA YAKUTWAA TAJI LA LIGI MARA 8 MFULULIZO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/04/juventus-yaweka-rekodi-mpya-ulaya-na_20.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "JUVENTUS YAWEKA REKODI MPYA ULAYA NA ITALIA BAADA YAKUTWAA TAJI LA LIGI MARA 8 MFULULIZO"

Post a Comment