title : Betri la kuongoza Taa barabarani latia hasara serikali
kiungo : Betri la kuongoza Taa barabarani latia hasara serikali
Betri la kuongoza Taa barabarani latia hasara serikali
Na Editha Edward- Tabora
Zaidi ya shilingi Milioni Tatu zimetumika kununua betri la kuongozea taa za barabarani lililoibiwa katika makutano ya barabara la isevya wilaya ya Tabora mjini mkoani Tabora, Jambo ambalo limesababisha hasara kwa serikali ili hali fedha hiyo ingetumika kwa maendeleo mengine
Hayo yamesemwa na Mkuu wa kitengo cha barabarani TANROADS Raphael Mlimaji amesema wizi wa betri hiyo imesababisha kusimama kwa kutumika Taa katika eneo husika,jambo ambalo limesababisha ongezeko la ajali za barabarani
"Hii hasara imesababishwa na mtu mmoja lakini pia imeaathiri wananchi, Kati yetu wanamfahamu na nchi inataka kusonga mbele mnarudisha nyuma ni kinyume cha Sheria"Amesema Mlimaji
Naye kamanda wa jeshi la polisi wilaya ya Tabora John Mfinanga amesema kila mwananchi awe mlinzi wa mwenzake ili kuweza kuwafikisha wahalifu kwenye vyombo husika ili kuweza kuimarisha usalama katika jamii
"Unapo iba vifaa vya barabarani si kwa kuikomoa serikali bali unakomoa wananchi wote ni vyema tushirikiane kuwafichua wezi hawa kwani wanarudisha nyuma maendeleo ya mkoa wetu"Amesema Mfinanga
Aidha Kamanda wa usalama barabarani Ame Malawi,amewataka wananchi mkoani Tabora kufuata Sheria za barabarani ili kuweza kusaidia kuondokana na ajali za Mara kwa Mara.
Zaidi ya shilingi Milioni Tatu zimetumika kununua betri la kuongozea taa za barabarani lililoibiwa katika makutano ya barabara la isevya wilaya ya Tabora mjini mkoani Tabora, Jambo ambalo limesababisha hasara kwa serikali ili hali fedha hiyo ingetumika kwa maendeleo mengine
Hayo yamesemwa na Mkuu wa kitengo cha barabarani TANROADS Raphael Mlimaji amesema wizi wa betri hiyo imesababisha kusimama kwa kutumika Taa katika eneo husika,jambo ambalo limesababisha ongezeko la ajali za barabarani
"Hii hasara imesababishwa na mtu mmoja lakini pia imeaathiri wananchi, Kati yetu wanamfahamu na nchi inataka kusonga mbele mnarudisha nyuma ni kinyume cha Sheria"Amesema Mlimaji
Naye kamanda wa jeshi la polisi wilaya ya Tabora John Mfinanga amesema kila mwananchi awe mlinzi wa mwenzake ili kuweza kuwafikisha wahalifu kwenye vyombo husika ili kuweza kuimarisha usalama katika jamii
"Unapo iba vifaa vya barabarani si kwa kuikomoa serikali bali unakomoa wananchi wote ni vyema tushirikiane kuwafichua wezi hawa kwani wanarudisha nyuma maendeleo ya mkoa wetu"Amesema Mfinanga
Aidha Kamanda wa usalama barabarani Ame Malawi,amewataka wananchi mkoani Tabora kufuata Sheria za barabarani ili kuweza kusaidia kuondokana na ajali za Mara kwa Mara.
Kamanda wa Jeshi la polisi wilaya ya Tabora, John Mfinanga
Hivyo makala Betri la kuongoza Taa barabarani latia hasara serikali
yaani makala yote Betri la kuongoza Taa barabarani latia hasara serikali Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Betri la kuongoza Taa barabarani latia hasara serikali mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/04/betri-la-kuongoza-taa-barabarani-latia.html
0 Response to "Betri la kuongoza Taa barabarani latia hasara serikali"
Post a Comment