title : NYANZA BOTTLERS YAKABIDHI ZAWADI ZA PROMOSHENI YA ‘KUNYWAAH NA USHINDE'
kiungo : NYANZA BOTTLERS YAKABIDHI ZAWADI ZA PROMOSHENI YA ‘KUNYWAAH NA USHINDE'
NYANZA BOTTLERS YAKABIDHI ZAWADI ZA PROMOSHENI YA ‘KUNYWAAH NA USHINDE'

Meneja mauzo wa Kampuni ya Coca Cola ya Nyanza Bottlers, Samwel Makenge (kulia) akikabidhi zawadi ya TV kwa Mkazi wa Mwanza Saduni Rashid (kushoto) katika hafla ya kuwakabidhi washindi wa Promosheni ya Coca Cola ya ‘Kunywaaah na Ushinde’ iliyofanyika jana jijini humo. Promosheni hiyo ya miezi mitatu inaenda sambamba na msimu huu wa Coke Studio ambapo imedhamiria kuwatunuku wateja wake wapendwa kwa majuma 12 ambapo watu mbalimbali wanajinyakulia fedha taslimu, runinga na bidhaa nyingine nyingi kutoka Coca Cola.
Meneja mauzo wa Kampuni ya Coca Cola ya Nyanza Bottlers, Samwel Makenge (kulia) akikabidhi zawadi ya TV kwa Mkazi wa Mwanza Said Masoud (kushoto) katika hafla ya kuwakabidhi washindi wa Promosheni ya Coca Cola ya ‘Kunywaaah na Ushinde’ iliyofanyika jana jijini humo. Promosheni hiyo ya miezi mitatu inaenda sambamba na msimu huu wa Coke Studio ambapo imedhamiria kuwatunuku wateja wake wapendwa kwa majuma 12 ambapo watu mbalimbali wanajinyakulia fedha taslimu, runinga na bidhaa nyingine nyingi kutoka Coca Cola.
Meneja mauzo wa Kampuni ya Coca Cola ya Nyanza Bottlers, Samwel Makenge (kulia) akikabidhi zawadi ya TV kwa Mkazi wa Mwanza Wilhad Shirima (kushoto) katika hafla ya kuwakabidhi washindi wa Promosheni ya Coca Cola ya ‘Kunywaaah na Ushinde’ iliyofanyika jana jijini humo. Promosheni hiyo ya miezi mitatu inaenda sambamba na msimu huu wa Coke Studio ambapo imedhamiria kuwatunuku wateja wake wapendwa kwa majuma 12 ambapo watu mbalimbali wanajinyakulia fedha taslimu, runinga na bidhaa nyingine nyingi kutoka Coca Cola.
Washidi wa Promosheni ya Coca Cola ya ‘Kunywaaah na Ushinde’ wakionyesha zawadi za TV walizojishindia wakati wa hafla ya kuwakabidhi zawadi hizo jana jijini Mwanza. Promosheni hiyo ya miezi mitatu inaenda sambamba na msimu huu wa Coke Studio ambapo imedhamiria kuwatunuku wateja wake wapendwa kwa majuma 12 ambapo watu mbalimbali wanajinyakulia fedha taslimu, runinga na bidhaa nyingine nyingi kutoka Coca Cola.
Washidi wa Promosheni ya Coca Cola ya ‘Kunywaaah na Ushinde’ wakionyesha zawadi za TV walizojishindia wakati wa hafla ya kuwakabidhi zawadi hizo jana jijini Mwanza. Promosheni hiyo ya miezi mitatu inaenda sambamba na msimu huu wa Coke Studio ambapo imedhamiria kuwatunuku wateja wake wapendwa kwa majuma 12 ambapo watu mbalimbali wanajinyakulia fedha taslimu, runinga na bidhaa nyingine nyingi kutoka Coca Cola. Pamoja nao ni wafanyakazi wa Kampuni ya Nyanza Bottlers, Samwel Makenge (wa pili kushoto) na Deus Kadiko (kulia).
Hivyo makala NYANZA BOTTLERS YAKABIDHI ZAWADI ZA PROMOSHENI YA ‘KUNYWAAH NA USHINDE'
yaani makala yote NYANZA BOTTLERS YAKABIDHI ZAWADI ZA PROMOSHENI YA ‘KUNYWAAH NA USHINDE' Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala NYANZA BOTTLERS YAKABIDHI ZAWADI ZA PROMOSHENI YA ‘KUNYWAAH NA USHINDE' mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/03/nyanza-bottlers-yakabidhi-zawadi-za.html
0 Response to "NYANZA BOTTLERS YAKABIDHI ZAWADI ZA PROMOSHENI YA ‘KUNYWAAH NA USHINDE'"
Post a Comment