title : MKAZI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI AJINYAKULIA KITITA CHA SHILINGI MILIONI TANO KUTOKA BIKO
kiungo : MKAZI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI AJINYAKULIA KITITA CHA SHILINGI MILIONI TANO KUTOKA BIKO
MKAZI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI AJINYAKULIA KITITA CHA SHILINGI MILIONI TANO KUTOKA BIKO
Mkulima wa mananasi mwenye maskani yake, Bagamoyo, mkoani Pwani, Ambari Zuberi Kingwamba, amekabidhiwa fedha zake alizoshinda kutoka Biko, bahati nasibu ya Watanzania inayotoa ushindi mkubwa, ambapo alinyakua sh milioni tano kutoka kwenye bahati nasibu hiyo ya aina yake. Kulia ni Mratibu Msaidizi wa Biko, Hassan Ahmed. P
Mshindi wa sh milioni tano kutoka kwa waendeshaji wa mchezo wa kubahatisha wa Biko, Ambari Zuberi Kingwamba wa Bagamoyo mkoani Pwani, anayejihusisha na ukulima wa mananasi, amekabidhiwa fedha zake leo tayari kwa kuziingiza kwenye matumizi yake ya kila siku ili kuinua uchumi wake. Picha na Mpigapicha Wetu.
Hivyo makala MKAZI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI AJINYAKULIA KITITA CHA SHILINGI MILIONI TANO KUTOKA BIKO
yaani makala yote MKAZI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI AJINYAKULIA KITITA CHA SHILINGI MILIONI TANO KUTOKA BIKO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MKAZI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI AJINYAKULIA KITITA CHA SHILINGI MILIONI TANO KUTOKA BIKO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/03/mkazi-wa-bagamoyo-mkoani-pwani.html
0 Response to "MKAZI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI AJINYAKULIA KITITA CHA SHILINGI MILIONI TANO KUTOKA BIKO"
Post a Comment