WANAOMKEJELI RAIS MITANDAON KUKAMATWA

WANAOMKEJELI RAIS MITANDAON KUKAMATWA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WANAOMKEJELI RAIS MITANDAON KUKAMATWA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WANAOMKEJELI RAIS MITANDAON KUKAMATWA
kiungo : WANAOMKEJELI RAIS MITANDAON KUKAMATWA

soma pia


WANAOMKEJELI RAIS MITANDAON KUKAMATWA

 Image result for picha za lugola

Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ameliagiza Jeshi la Polisi nchini Tanzania kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) kuwasaka watu wanaotoa maneno ya uchochezi dhidi ya Rais John Magufuli na Serikali.

Akizungumza na  waandishi wa habari leo Jumatatu Februari 13, 2019 jijini Arusha Lugola amesema wanaotoa maneno ya uchochezi  kupitia simu zao, Blogs na makundi ya WhatsApp watasakwa popote na kuchukuliwa hatua za kisheria.

“Watanzania tumieni vizuri mitandao ya kijamii, msitumie kuvuruga amani ya nchi, usijidanganye unaweza kufanya uchochezi na usikamatwe,” amesema akidai watu hao wanamchonganisha Rais Magufuli na wananchi.

“Kama unatoa kauli za kumtukana Rais na uchochezi ina maana kuna watu nyuma wanakutuma,” amesema Lugola.


Hivyo makala WANAOMKEJELI RAIS MITANDAON KUKAMATWA

yaani makala yote WANAOMKEJELI RAIS MITANDAON KUKAMATWA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WANAOMKEJELI RAIS MITANDAON KUKAMATWA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/02/wanaomkejeli-rais-mitandaon-kukamatwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WANAOMKEJELI RAIS MITANDAON KUKAMATWA"

Post a Comment