UPDATES YA MSIBA Mtoto wa Waziri Kigwangalla

UPDATES YA MSIBA Mtoto wa Waziri Kigwangalla - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa UPDATES YA MSIBA Mtoto wa Waziri Kigwangalla, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : UPDATES YA MSIBA Mtoto wa Waziri Kigwangalla
kiungo : UPDATES YA MSIBA Mtoto wa Waziri Kigwangalla

soma pia


UPDATES YA MSIBA Mtoto wa Waziri Kigwangalla

#UPDATEMSIBA wa Zulqarinain Mtoto wa Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni  Waziri wa Maliasili na Utalii  Dk.Hamisi Andrea  Kigwangalla upo nyumbani kwake Mikocheni A katika Kota za Mawaziri jirani na Victoria.

Kwa mujibu wa Msemaji wa Familia Bwana  Lumola anataarifu kuwa mwili utasafirishwa kesho asubuhi kwa  ndege na Mazishi yanatarajiwa kufanyika saa Kumi jioni Nzega Vijijini  Jimboni kwa Waziri Dk Kigwangalla.

Taratibu za mazishi zinaendelea nyumbani Dar es Salaam  na Nzega Vijijini.

Msiba umetokea leo February 21 majira ya Saa nne asubuhi  JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE - MUHIMBILI. Zulqarinain alikuwa akisumbuliwa na tatizo la moyo.
#R.I.P. Zul.

Inna lillahi wainna illaihi rajiuun

 Baadhi ya watu wakiwemo mawaziri na Majirani  waliojitokeza kwenye msiba mtoto  wa Dk. Kigwangalla muda huu



Hivyo makala UPDATES YA MSIBA Mtoto wa Waziri Kigwangalla

yaani makala yote UPDATES YA MSIBA Mtoto wa Waziri Kigwangalla Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala UPDATES YA MSIBA Mtoto wa Waziri Kigwangalla mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/02/updates-ya-msiba-mtoto-wa-waziri.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "UPDATES YA MSIBA Mtoto wa Waziri Kigwangalla"

Post a Comment