Serikali kuwekeza nguvu kwa vijana katika kilimo Biashara -Hasunga

Serikali kuwekeza nguvu kwa vijana katika kilimo Biashara -Hasunga - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Serikali kuwekeza nguvu kwa vijana katika kilimo Biashara -Hasunga, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Serikali kuwekeza nguvu kwa vijana katika kilimo Biashara -Hasunga
kiungo : Serikali kuwekeza nguvu kwa vijana katika kilimo Biashara -Hasunga

soma pia


Serikali kuwekeza nguvu kwa vijana katika kilimo Biashara -Hasunga


Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.

Serikali imesema kuwa katika kuelekea uchumi wa viwanda kunahitaji kuwekeza nguvu kwa vijana kuingia katika Sekta ya Kilimo na kuacha kuzunguka na bahasha ya kaki ya kuomba ajira sehemu mbalimbali nchini.
Hayo ameyasema Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga wakati mkutano wa waandishi wa habari kuhusiana na Kongamano la vijana  Kimataifa kuhusu Kilimo Biashara litakalofanyika Machi 20 hadi 22 katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Amesema kuwa asilimia 60 ya wanafunzi wanahitimu vyuo vikuu wanakuwa sio wazalishaji  kutokana na kusubiri ajira hivyo Kilimo Biashara ndio suluhisho la ajira kwa vijana nchini.Hasunga amesema kuwa serikali imedhamiria kuweka mazingira ya Kilimo kwenda kisasa kwa kuhakikisha masoko ndani yanakuwa nafasi na ziada kuuza nje ya nchi.

"Vijana wakiingia katika Kilimo suala la kutembea na bahasha kwa ajili ya kutafuta ajira  litakuwa historia kwa kijana kuendesha Kilimo  hakihitaji watu wa kufanya usaili"amesema Hasunga.

Aidha amesema Kilimo kimekuewa kikilimwa kwa mazoea na kufanya kilimo kuonekana kigumu lakini serikali ya awamu ya tano tunakwenda na Kilimo cha kisasa kwa kuhusianisha masoko pamoja na viwanda kwa kwa ajili ya kuongeza thamani ya mazao.

Hata hivyo amesema kuwa vijana kwa kuwa na mwamko wa elimu huku wengine wakiwa wataalam watafanya chachu ya Kilimo na kufanya vijana  waliokata tamaa kuingia katika sekta ya Kilimo.Hasunga amesema nchi yeyote duniani inategemea vijana katika kupata Maendeleo  hivyo serikali haitaweza kuwaacha nyuma  katika sekta ya Kilimo.

Amesema takwimu zinaonyesha asilimia 53 ndio wanatumia jembe la mkono katika kilimo huku asilimia 27 wanatumia wanyama katika kuendesha takwimu na asilimia 20 wanatumia trekta .Nae Mwenyekiti wa Kongamano la Vijana Kimataifa Kuhusu Kilimo Biashara Majabi Emmanuel amesema kuwa  wanatarajia kuwa na washiriki 1000  kutoka sehemu mbambali wa ndani na nje ya nchi.

Amesema kuwa wameanda Kongamano hilo kutokana na vijana kujitenga katika kilimo wakati ndio chenye fursa ya kujiajiri moja kwa moja.
 Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga akizungumza na waandishi habari kuhusiana na Kongamano la Kimataifa la Vijana   kuhusu Kilimo Biashara litafanyika Jijini Dar es Salaam.

Vijana wa Kilimo Biashara wakiwa na Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga mara ya kuzungumza na waandishi habari kuhusiana na Kongamano la Kilimo Biashara.


Hivyo makala Serikali kuwekeza nguvu kwa vijana katika kilimo Biashara -Hasunga

yaani makala yote Serikali kuwekeza nguvu kwa vijana katika kilimo Biashara -Hasunga Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Serikali kuwekeza nguvu kwa vijana katika kilimo Biashara -Hasunga mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/02/serikali-kuwekeza-nguvu-kwa-vijana.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Serikali kuwekeza nguvu kwa vijana katika kilimo Biashara -Hasunga"

Post a Comment