RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN MGENI RASMIN SIKU YA SHERIA ZANZIBAR ZILIZOFANYIKA KISIWANI PEMBA WETE

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN MGENI RASMIN SIKU YA SHERIA ZANZIBAR ZILIZOFANYIKA KISIWANI PEMBA WETE - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN MGENI RASMIN SIKU YA SHERIA ZANZIBAR ZILIZOFANYIKA KISIWANI PEMBA WETE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN MGENI RASMIN SIKU YA SHERIA ZANZIBAR ZILIZOFANYIKA KISIWANI PEMBA WETE
kiungo : RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN MGENI RASMIN SIKU YA SHERIA ZANZIBAR ZILIZOFANYIKA KISIWANI PEMBA WETE

soma pia


RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN MGENI RASMIN SIKU YA SHERIA ZANZIBAR ZILIZOFANYIKA KISIWANI PEMBA WETE

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Viongozi wa Meza Kuu wamesimama ukipigwa wimbo wa Taifa kulia Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu na kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Mhe Haroun Ali Suleiman.
 WAHESHIMIWA Majaji na Mahakimu na Wananchi wakihudhuria hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika Kisiwani Pemba Wilaya ya Wete ukumbi wa Baraza la Wawakilishi
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu, wakiwa katika ukumbi wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika Wilaya ya Wete Pemba.
 BAADHI ya Mawaziri Makatibu Wakuu na Wananchi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.
 MWAKILISHI wa Chama Cha Wanasheria Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban, akitowa salamu za Wanasheria Zanzibar wakati wa hafla ya Maafdhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar.
  JAJI Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu akihutubia wakati wa hafla ya Siku ya Sheria Zanzibar zilizofanyika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizindua Kitabu cha Zanzibar ya Law, wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar zilizofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba, kulia Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu na kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sheria Katiba Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Mhe Haroun Ali Suleiman.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akionesha Kitabu cha Zanzibar ya Law baada ya kukizindua katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, zilizofanyika Kitaifa Kisiwani Pemba Wilaya ya Wete, kulia Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu na kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Mhe. Haroun Ali Suleimin.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar zilizofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.
 JAJI Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu akiongoza maandamano ya Majaji wa Mahakama Kuu Zanzibar wakielekea katika ukumbi wa Mkutano wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba, wakati wa hafla ya maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar,kulia Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar Mhe. Abdulhakim Ameir Issa na kushoto Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar Mhe. Abraham Mwampashi.


Hivyo makala RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN MGENI RASMIN SIKU YA SHERIA ZANZIBAR ZILIZOFANYIKA KISIWANI PEMBA WETE

yaani makala yote RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN MGENI RASMIN SIKU YA SHERIA ZANZIBAR ZILIZOFANYIKA KISIWANI PEMBA WETE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN MGENI RASMIN SIKU YA SHERIA ZANZIBAR ZILIZOFANYIKA KISIWANI PEMBA WETE mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/02/rais-wa-zanzibar-dkt-shein-mgeni-rasmin.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN MGENI RASMIN SIKU YA SHERIA ZANZIBAR ZILIZOFANYIKA KISIWANI PEMBA WETE"

Post a Comment