Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Namibia nchini, afanya IARA YA PAMOJA YA NAIBU WAZIRI WA FEDHA MPAKANI HOROHORO - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Namibia nchini, afanya IARA YA PAMOJA YA NAIBU WAZIRI WA FEDHA MPAKANI HOROHORO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Namibia nchini, afanya IARA YA PAMOJA YA NAIBU WAZIRI WA FEDHA MPAKANI HOROHOROkiungo :
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Namibia nchini, afanya IARA YA PAMOJA YA NAIBU WAZIRI WA FEDHA MPAKANI HOROHORO
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Namibia nchini, afanya IARA YA PAMOJA YA NAIBU WAZIRI WA FEDHA MPAKANI HOROHORO
 |
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damas Ndumbaro (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Namibia Mhe. Balozi Theresia Samaria. Mazungumzo hayo ambayo yalijikita kwenye masuala ya kuimarsha ushirikiano kati ya nchi hizi mbili, yamefanyika katika Ofisi ndogo ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki jijini Dar es Salaam tarehe 13 Februari 2019. |
 |
Mazungumzo yakiendelea. |
|
 |
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (Mb.) na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) kwa pamoja wamefanya ziara kwenye kijiji cha Jasini na Kituo cha kutolea huduma kwa pamoja Mpakani cha Horohoro kilichopo mpakani mwa Tanzania na Kenya Wilayani Mkinga, Mkoani Tanga. Pamoja na Mambo mengine Naibu Mawaziri hao waliweza kujionea changamoto mbalimbali ikiwamo ukusanyaji wa mapato kituoni hapo, pamoja na kuzungumza na wanakijiji cha Jasini na Watendaji wa Kituo hicho. |
 |
Wadau walioshiriki ziara za Naibu mawaziri hao wakisikiliza wakati Dkt. Ndumbaro (hayupo pichani) akizungumza |
 |
Sehemu nyingine ya wadau wakimsikiliza Dkt. Ndumbaro (hayupo pichani) |
 |
Mkutano ukiendelea |
 |
Wananchi wakipata huduma kwenye kituo hicho cha kutolea huduma kwa pamoja |
 |
Dkt. Ndumbaro pamoja na Dkt. Kijaji wakimsikiliza Bw. Bilali Juma, Afisa Mkemia wa kituo cha kutolea huduma kwa pamoja mpakani Horohoro |
 |
Dkt. Ndumbaro akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza mazungumzo na wadau mbalimbali |
 |
Kituo cha kutolea huduma kwa pamoja cha Horohoro kilihopo Mpakani mwa Tanzania na Kenya kama kinavyoonekana pichani |

Dkt. Ndumbaro akisaini kitabu cha wageni cha kijiji cha Jasini kilichopo wilaya ya Mkinga, Mkoani Tanga, kabla ya kuanza ziara kwenye kijiji hicho
 |
Naibu Mawaziri pamoja na wadau mbalimbali wakiwa wamesimama kwenye moja ya jiwe ambalo linaonyesha Mpaka wa Tanzania na Kenya. |
 |
Mhe. Dkt. Ndumbaro na Mhe. Dkt. Kijaji wakiwa kwenye Nyumba iliyojengwa mpakani mwa Tanzania na Kenya. Horohoro. Mhe. Ndumbaro akiwa upande wa Kenya na Mhe. Kijaji akiwa upande wa Tanzania |
 |
Mhe. Dkt. Ndumbaro na Mhe. Dkt. Kijaji wakiendelea na ziara na kujionea alama za mipaka zilizopo mpakani hapo |
 |
Mhe. Dkt. Ndumbaro pamoja na Mhe. Dkt. Kijaji wakiwa kwenye moja ya alama za mpaka |
 |
Mhe. Dkt. Ndumbaro akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu umuhimu wa ziara yao kwenye kituo cha kutoa huduma kwa pamoja cha Horohoro |
 |
Mhe. Dkt. Kijaji akitizama kitambulisho cha mjasiriamali mdogo huku Dkt. Ndumbaro akishuhudia tukio hilo. Mjasiriamali huyo aliwavuti Naibu Mawaziri hao kwa mwitikio wake chanya katika kuhakikisha kila mjasiriamali nchini anapata kitambulisho cha kufanyia biashara |
 |
Mmoja wa wanakijiji akielezea changamoto wanazokabiliana nazo kijijini hapo ikiwamo upatikanaji wa elimu kwa watoto wao ambao wanalazimika kwenda kusoma Kenya na jioni kurejea Tanzania.
 |
Wanakijiji wakiwasikiliza kwa makini Naibu Mawaziri hawapo pichani
 |
Naibu Mawaziri hao wakizungumza na baadhi ya wananchi wa Jasini mara baada ya kumaliza ziara kijijini hapo |
|
|
 |
Waandishi wa habari wakiwa kazini |
 |
Waheshimiwa Naibu Mawaziri wakimsikiliza Mohamed Ibrahim anayesoma Darasa la nne Shule ya Vumba Kuu iliyopo Kenya. Mohamed alikuwa amerudi nyumbani kupata chakula wakati wa mapumziko mafupi kabla ya kurudi darasani. |
|
Hivyo makala Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Namibia nchini, afanya IARA YA PAMOJA YA NAIBU WAZIRI WA FEDHA MPAKANI HOROHORO
yaani makala yote Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Namibia nchini, afanya IARA YA PAMOJA YA NAIBU WAZIRI WA FEDHA MPAKANI HOROHORO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Namibia nchini, afanya IARA YA PAMOJA YA NAIBU WAZIRI WA FEDHA MPAKANI HOROHORO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/02/naibu-waziri-wa-mambo-ya-nje-akutana-na.html
0 Response to "Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Namibia nchini, afanya IARA YA PAMOJA YA NAIBU WAZIRI WA FEDHA MPAKANI HOROHORO"
Post a Comment