ZAHERA AMPA RUNGU LA UNAHODHA IBRAHIM AJIB

ZAHERA AMPA RUNGU LA UNAHODHA IBRAHIM AJIB - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ZAHERA AMPA RUNGU LA UNAHODHA IBRAHIM AJIB, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ZAHERA AMPA RUNGU LA UNAHODHA IBRAHIM AJIB
kiungo : ZAHERA AMPA RUNGU LA UNAHODHA IBRAHIM AJIB

soma pia


ZAHERA AMPA RUNGU LA UNAHODHA IBRAHIM AJIB

Na Zainab Nyamka, 
Globu ya Jamii

KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga Zahera Mwinyi amemteua mshambuliaji wa timu hiyo Ibrahim Ajib kuwa nahodha akichukua nafasi ya beki kisiki Kelvin Yondani.
Hatua hiyo imekuja baada ya Yondani kuchelewa kuripoti mazoezini bila kutoa taarifa yoyote  na kuonesha utovu wa nidhamu akiwa kama kiongozi uwanjani.
Zahera amechukua hatua hiyo baada ya Yondani kutoonekana mazoezini licha ya wenzake wote kuanza mazoezi. 
“Haiwezekani unatoa siku tano za mapumziko, mtu hatokei na hakuna taarifa yoyote. Sipendi hii tabia nimemtoa Yondani, nahodha mpya sasa atakuwa ni Ibrahim Ajibu,” alisema.
Ajibu anakuwa nahodha wa Yanga kwa mara ya kwanza baada ya kupendekezwa leo hii na Kocha wa timu hiyo  Zahera akiamua  kumng’oa Yondani kwa madai ya utovu wa nidhamu.





Hivyo makala ZAHERA AMPA RUNGU LA UNAHODHA IBRAHIM AJIB

yaani makala yote ZAHERA AMPA RUNGU LA UNAHODHA IBRAHIM AJIB Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ZAHERA AMPA RUNGU LA UNAHODHA IBRAHIM AJIB mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/zahera-ampa-rungu-la-unahodha-ibrahim.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ZAHERA AMPA RUNGU LA UNAHODHA IBRAHIM AJIB"

Post a Comment