YANGA YAPELEKA VIJANA KOMBE LA MAPINNDUZI

YANGA YAPELEKA VIJANA KOMBE LA MAPINNDUZI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa YANGA YAPELEKA VIJANA KOMBE LA MAPINNDUZI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : YANGA YAPELEKA VIJANA KOMBE LA MAPINNDUZI
kiungo : YANGA YAPELEKA VIJANA KOMBE LA MAPINNDUZI

soma pia


YANGA YAPELEKA VIJANA KOMBE LA MAPINNDUZI


Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii

Kikosi cha Yanga kimewasili Visiwani Zanzibar kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Mapinduzi lililoanza kutimua vumbi Januari Mosi 2019 na kufikiwa tamati Januari 13, 2019.

Kikosi hicho kinaongozwa na Kocha Msaidizi wa Yanga Noel Mwandila akisaidiwa na Kocha wa timu ya Vijana Said Maulid 'SMG', daktari wa timu Edward Bavu, Meneja wa timu  Nadir Haroub "Canavaro" na  Mohamed Ali.

Yanga watashuka dimbani kesho saa 2.15 wakiumana na KVZ ukiwa ni mchezo wa kwanza kwenye mashindano hayo kwenye dimba la Amani Zanzibar. Wachezaji hao ni 


1. Maka Edward

2. Haji Mwinyi
3. Said Makapu
4. Matheo Anthony
5. Erick Msagati
6. Deo Mkami
7. Ibrahim Abrahaman
8. Ibrahim Ahmed
9. Deus Kaseke
10. Mustapha Seleman
11. Abuu Shaban
12. Ramadhan Mrisho
13. Mohamed Salumu
14. Cheda Hussein
15. Yasini Salehe
16. Salumu Mkama
17. Faraji Kilaza
18. Bakari Athman
19. Said Khasimu
20. Shaban Mohamed
21. Jafari Mohamed
22. Pius Buswita
23. Juma Abdul 


Hivyo makala YANGA YAPELEKA VIJANA KOMBE LA MAPINNDUZI

yaani makala yote YANGA YAPELEKA VIJANA KOMBE LA MAPINNDUZI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala YANGA YAPELEKA VIJANA KOMBE LA MAPINNDUZI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/yanga-yapeleka-vijana-kombe-la.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "YANGA YAPELEKA VIJANA KOMBE LA MAPINNDUZI"

Post a Comment