TANZIA:BABA MZAZI WA MSANII ALIKIBA AFARIKI DUNIA - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TANZIA:BABA MZAZI WA MSANII ALIKIBA AFARIKI DUNIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
TANZIA:BABA MZAZI WA MSANII ALIKIBA AFARIKI DUNIAkiungo :
TANZIA:BABA MZAZI WA MSANII ALIKIBA AFARIKI DUNIA
TANZIA:BABA MZAZI WA MSANII ALIKIBA AFARIKI DUNIA
Baba mzazi wa wasanii wa bongofleva nchini Ali kiba pamoja na Abdul kiba Mzee salehe Kiba amefariki leo alfajiri katika hospital ya Taifa Muhimbili alipokua akipatiwa matibabu.
Taarifa za awali zianeleza kuwa msiba huo utakuwa karikaoo nyumbani kwa marehemu Mzee salehe kiba.
Taratibu za Mazishi bado zinaendelea kupangwa na wanafamilia ili kuupumzisha mwili wa Mzee kiba mahali pema.
Uongozi wa Michuzi Media Group unatoa pole kwa familia ya Mzee kiba na kwa wale wote walioguswa na msiba huo katika kipindi hiki kigumu.
TUTAWALEZA TAARIFA ZAIDI KUHUSIANA NA MSIBA HUU.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMIN
Hivyo makala TANZIA:BABA MZAZI WA MSANII ALIKIBA AFARIKI DUNIA
yaani makala yote TANZIA:BABA MZAZI WA MSANII ALIKIBA AFARIKI DUNIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala TANZIA:BABA MZAZI WA MSANII ALIKIBA AFARIKI DUNIA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/tanziababa-mzazi-wa-msanii-alikiba.html
Related Posts :
WAZIRI MHAGAMA AWAONYA WAAJIRI WOTE KUTONYANYASA WANAWAKEWaziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe.Jenista mhagama amewatak… Read More...
UFAFANUZI WA TAARIFA INAYOSAMBAZWA NA WAFANYABIASHARA KATIKA UHAKIKI WA BIDHAA ZILIZOFUNGASHWAKumekuwepo na taarifa ambayo imesambazwa katika mitandao ya kijamii kutoka kwa mfanyabiashara mmoja katika Mkoa wa Morogoro akilalamika kuit… Read More...
HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA, AWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA KWA MWAKA 2019/20
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako.
… Read More...
WAZIRI MKUU: SERIKALI IMETOA SH. BILIONI 118 KUIMARISHA MAWASILIANO *Ahimiza wananchi walinde minara ya mawasiliano popote pale ilipo
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema tangu Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote uanzishwe, Serikali imechangia shilingi bilioni 118 ili kuim… Read More...
RAIS DKT MAGUFULI AHUTUBIA TAIFA KWENYE SHEREHE ZA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI (MEI MOSI) JIJINI MBEYA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kas… Read More...
0 Response to "TANZIA:BABA MZAZI WA MSANII ALIKIBA AFARIKI DUNIA"
Post a Comment