WANANCHI WASHAURIWA KUPIMA AFYA ZAO KABLA YA KUJIHUSISHA NA MICHEZO

WANANCHI WASHAURIWA KUPIMA AFYA ZAO KABLA YA KUJIHUSISHA NA MICHEZO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WANANCHI WASHAURIWA KUPIMA AFYA ZAO KABLA YA KUJIHUSISHA NA MICHEZO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WANANCHI WASHAURIWA KUPIMA AFYA ZAO KABLA YA KUJIHUSISHA NA MICHEZO
kiungo : WANANCHI WASHAURIWA KUPIMA AFYA ZAO KABLA YA KUJIHUSISHA NA MICHEZO

soma pia


WANANCHI WASHAURIWA KUPIMA AFYA ZAO KABLA YA KUJIHUSISHA NA MICHEZO

 Image result for picha za mohamedi janabi jkci
 
 
Wananchi wameshauriwa kuchunguza afya zao  kabla ya kujihusisha na michezo au mazoezi mbalimbali ya viungo vya mwili ili kuepukana na mstuko wa moyo unaoweza kusababisha vifo vya ghafla.

Rai hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam  na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi wakati akiongea  na waandishi wa habari kuhusu vifo vya ghafla vinavyowatokea wanamichezo wawapo uwanjani  na wananchi wakati wa kufanya mazoezi ya viungo vya mwili. 

Prof. Janabi ambaye ni daktari bingwa wa magonjwa ya moyo alisema mshtuko wa moyo  huufanya moyo kuacha kufanya kazi inavyotakiwa  na hii   humtokea mtu ambaye mfumo wake wa umeme wa moyo haufanyi kazi vizuri au mishipa ya damu ya moyo imeziba. 

Mtu mwingine ambaye hukutwa na tatizo hili ni yule ambaye ana tundu kwenye moyo, mishipa  ya damu ya moyo kuwa na matatizo na hivyo kuchanganya damu safi na  chafu.
 
“Jamii yetu imekuwa na tabia ya kufanya mazoezi mbalimbali  bila kupima afya ya moyo. Mazoezi yoyote yale ya viungo vya mwili husababisha misuli kujijenga na kuwa mikubwa  kama mtu ana ugonjwa wa moyo na misuli yake imekuwa kutokana na mazoezi hupelekea kuziba kwa njia ya damu kutoka kwenye moyo na kusababisha vifo vya ghafla”, alisema Prof. Janabi.

Aidha Prof. Janabi ameviomba vyama vya michezo  kushirikiana na  hospitali kubwa hapa nchini ili wakati wa  michuano mbalimbali  itakapotokea mchezaji kupata tatizo la mshtuko  wa moyo awapo uwanjani hospitali hizo  ziweze kumuhudumia kwa wakati na  kuokoa maisha yake.

Kwa upande wa vilabu vya michezo alivihimiza  kufanya  uchunguzi wa afya ikiwemo afya ya moyo kwa wachezaji wao kabla ya kuwasajili ili kuepuka kutumia fedha nyingi kusajili wachezaji ambao wana matatizo ya kiafya.
  
Imetolewa na Kitengo cha Uhusiano
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI )


Hivyo makala WANANCHI WASHAURIWA KUPIMA AFYA ZAO KABLA YA KUJIHUSISHA NA MICHEZO

yaani makala yote WANANCHI WASHAURIWA KUPIMA AFYA ZAO KABLA YA KUJIHUSISHA NA MICHEZO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WANANCHI WASHAURIWA KUPIMA AFYA ZAO KABLA YA KUJIHUSISHA NA MICHEZO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/wananchi-washauriwa-kupima-afya-zao.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WANANCHI WASHAURIWA KUPIMA AFYA ZAO KABLA YA KUJIHUSISHA NA MICHEZO"

Post a Comment