UONGOZI WA SOFAPAKA YA KENYA YATOA ONYO JAGWANI. - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa UONGOZI WA SOFAPAKA YA KENYA YATOA ONYO JAGWANI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
UONGOZI WA SOFAPAKA YA KENYA YATOA ONYO JAGWANI.kiungo :
UONGOZI WA SOFAPAKA YA KENYA YATOA ONYO JAGWANI.
UONGOZI WA SOFAPAKA YA KENYA YATOA ONYO JAGWANI.
 |
KASUMBA (KULIA) |
Uongozi wa Sofapaka ya Kenya umesema umepata taarifa kwamba Yanga wanataka kumtwaa mshambuliaji wao, Umar Kasumba.
Mmoja wa viongozi wa Sofapaka ambaye amesema si msemaji wa klabu, amesisitiza, lolote sawa lakini tararibu zifuatwe.
“Naweza kukuambia wewe kwa kuwa ni rafiki yangu, kwanza si sawa kuona inazungumzwa mchezaji wako anatakiwa na wewe hujui lolote.
“Lakini sawa, kama wanamhitaji waje, tuwaeleze ofa yetu. Maana tumeelezwa huko Tanzania mnaandika tu kwamba anakuja kwenu huko Yanga,” alisema.
Hata hivyo, Yanga haijatamka zaidi ya kuwepo kwa fununu zinazoambatana na madalali wanaotaka kumleta mchezaji huyo nchini kuendelea kupiga debe.
Imeelezwa Kasumba ni mmoja wa wachezaji wazuri lakini wanaocheza kwa kufanana kabisa na Herietier Makambo.
Yanga imekuwa ikiendelea kutaka kujiimarisha katika ushambulizi wakati ikiendelea kuongoza ligi.
Hivyo makala UONGOZI WA SOFAPAKA YA KENYA YATOA ONYO JAGWANI.
yaani makala yote UONGOZI WA SOFAPAKA YA KENYA YATOA ONYO JAGWANI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala UONGOZI WA SOFAPAKA YA KENYA YATOA ONYO JAGWANI. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/uongozi-wa-sofapaka-ya-kenya-yatoa-onyo.html
Related Posts :
SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA WABUNGE WA BUNGE LA UMOJA WA ULAYA
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mbunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya Mhe. Alojz Peterle (kulia) pale ugeni wa… Read More...
RAIS JACOB ZUMA KUHUDHURIA KONGAMANO LA BIASHARA NCHINI MEI 11.Na Bakari Madjeshi, Globu ya Jamii
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Afrika Kusini, Mhe. Jacob Zuma anatarajiwa kuhudhuria Kongamano la Biasha… Read More...
NGOMA AREJEA NCHINI AKITOKEA AFRIKA KUSINI ASEMA YUPO TAYARI KUONGEZA MKATABA MPYA YANGA,AIKANA SIMBA
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Yanga,Donald Ngoma amerejea nchini akitokea nchini Afrika ya Kusini ambako alikwenda kwa ajili ya matibabu… Read More...
HaloPesa, Selcom kupanua wigo wa huduma za kifedha
Katika kufanikisha azma ya kupanua wigo wa huduma za kifedha kwa wananchi wenye vipato tofauti, kampuni ya mawasiliano ya Halotel im… Read More...
RC NDIKILO AMALIZA ZIARA YAKE KIMKOA NA KUSISITIZA MAMBO MAKUU MANNENa Mwamvua Mwinyi,Pwani
MKUU wa mkoa wa Pwani ,mhandisi Evarist Ndikilo,amemaliza ziara yake ya kutembelea wilaya sita kimkoa,ambapo … Read More...
0 Response to "UONGOZI WA SOFAPAKA YA KENYA YATOA ONYO JAGWANI."
Post a Comment