NMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI 52 MUHIMBILI

NMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI 52 MUHIMBILI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI 52 MUHIMBILI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI 52 MUHIMBILI
kiungo : NMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI 52 MUHIMBILI

soma pia


NMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI 52 MUHIMBILI

 Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Dar es Salaam, Badru Idd akimkabidhi madawati 52 Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Tiba wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. John Rwegasha kwa ajili ya wagonjwa na ndugu wa wagonjwa wanaofika kupatiwa matibabu hospitali hapo. Katikati ni Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile akishuhudia tukio hilo. Kushoto ni Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Dharura wa Muhimbili, Dkt. Juma Mfinanga. Msaada huo una thamani ya Tsh. 10 milioni.
 Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile akikagua madawati hayo. Kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Tiba wa Muhimbili, John Rwegasha, Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Badru Idd na Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Dharura wa Muhimbili, Dkt. Juma Mfinanga.
 Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile akizungumza na waandishi wa habari kabla ya NMB kukabidhi msaada wa madawati hayo kwa uongozi wa Muhimbili.
 Mkazi wa Kurasini jijini Dar es Salaam, Mariam Shaban akiishukuru Muhimbili pamoja na NMB kwa kuwapatia madawati hayo ambayo watayatumia kusubiri ndugu na jamaa  wakati wakipatiwa matibabu na wataalam wa afya. Pia, Bi. Mariam amemweleza Naibu Waziri jinsi wataalam wa Muhimbili walivyompokea vizuri mgonjwa wake na kuanza kumpatia matibabu kwa wakati.
Dkt. Ndugulile akizungumzia huduma za afya zinazotolewa na Muhimbili baada ya kukagua madawati hayo leo.



Hivyo makala NMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI 52 MUHIMBILI

yaani makala yote NMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI 52 MUHIMBILI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI 52 MUHIMBILI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/nmb-yakabidhi-msaada-wa-madawati-52.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI 52 MUHIMBILI"

Post a Comment