MATUKIO KATIKA PICHA TIGO FIESTA 2018 ILIVYOFUNIKA DAR

MATUKIO KATIKA PICHA TIGO FIESTA 2018 ILIVYOFUNIKA DAR - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MATUKIO KATIKA PICHA TIGO FIESTA 2018 ILIVYOFUNIKA DAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MATUKIO KATIKA PICHA TIGO FIESTA 2018 ILIVYOFUNIKA DAR
kiungo : MATUKIO KATIKA PICHA TIGO FIESTA 2018 ILIVYOFUNIKA DAR

soma pia


MATUKIO KATIKA PICHA TIGO FIESTA 2018 ILIVYOFUNIKA DAR



Mkali wa muziki wa Bongo Fleva Ali Kiba aka King Kiba, akiwa stejini pamoja na madensa wake wakati wa Tamasha la Tigo Fiesta 2018 lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam.
Mwanadada anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa Bongo Flava Vanessa Mdee (katikati) akitoa burudani ya kufunga mwaka pamoja na madensa wake katika hitimisho la tamasha la Tigo Fiesta 2018 lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya mashabiki wa muziki wa kizazi kipya wakishangilia kundi la Weusi( hawapo pichani) wakati walipopanda jukwaani kutumbuiza katika Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam.
Msanii Chege Chigunda (kushoto) akitoa burudani ya kufunga mwaka kwenye hitimisho la tamasha la Tigo Fiesta 2018 lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Chid Benz, akiwapagawisha mamia ya mashabiki waliofika kushuhudia hitimisho la Tamasha la Tigo Fiesta ‘Champion’ lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam.
Kundi la muziki wa kufoka foka (Hip Hop) la Weusi likitoa burudani ya kufunga mwaka katika hitimisho la tamasha la Tigo Fiesta 2018 lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam.

Msanii Dogo Janja akitoa burudani ya kufunga mwaka kwenye hitimisho la tamasha la Tigo Fiesta 2018 lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam.


Hivyo makala MATUKIO KATIKA PICHA TIGO FIESTA 2018 ILIVYOFUNIKA DAR

yaani makala yote MATUKIO KATIKA PICHA TIGO FIESTA 2018 ILIVYOFUNIKA DAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MATUKIO KATIKA PICHA TIGO FIESTA 2018 ILIVYOFUNIKA DAR mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/matukio-katika-picha-tigo-fiesta-2018.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MATUKIO KATIKA PICHA TIGO FIESTA 2018 ILIVYOFUNIKA DAR"

Post a Comment