AWESO AFANYA ZIARA RUANGWA NA NACHINGWEA -LINDI - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa AWESO AFANYA ZIARA RUANGWA NA NACHINGWEA -LINDI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
AWESO AFANYA ZIARA RUANGWA NA NACHINGWEA -LINDIkiungo :
AWESO AFANYA ZIARA RUANGWA NA NACHINGWEA -LINDI
AWESO AFANYA ZIARA RUANGWA NA NACHINGWEA -LINDI
Naibu Waziri wa Maji Mheshimiwa Jumaa Aweso (Mb) leo amehitimisha ziara Ruangwa Mkoani Lindi kwa kukagua miradi ya Kitandi, Mihewe na Mbekenyera. Aidha Mheshimiwa Aweso amefanya ziara Wilayani Nachingwea kwa kukagua miradi ya Mtua na Chimbendenga.
Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso akipewa maelezo juu mitambo ya kusafisha maji ya mradi wa Mbekenyera - Ruangwa.
Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso akiongea na Mkazi wa Mtua alipokuwa akikagua mradi wa maji katika kijiji hicho wakati wa ziara yake aliyoifanya leo.
Naibu wa Maji Jumaa Aweso akiongea na wananchi wa Chimbenenga Nachingwea wakati wa wa ziara yake ya kukagua miradi ya maji.
Hivyo makala AWESO AFANYA ZIARA RUANGWA NA NACHINGWEA -LINDI
yaani makala yote AWESO AFANYA ZIARA RUANGWA NA NACHINGWEA -LINDI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala AWESO AFANYA ZIARA RUANGWA NA NACHINGWEA -LINDI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/aweso-afanya-ziara-ruangwa-na.html
Related Posts :
Maandalizi ya Dasani Marathon 2017 yakamilika
&nbs… Read More...
UCHAGUZI DRFA WAFANYIKA, KASONGO ATETEA KITI CHAKE
Mwenyekiti wa chama cha Mpira mkoa wa Dar es salaam (DRFA) Almas Kasongo (Kushoto).
Na Zainab Nymaka, Globu ya Jamii
UCH… Read More...
WAJUMBE wa Bodi ya ZBS Zanzibar ziarani Pemba kujitambulisha
AFISA mdhamini Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Pemba, Abdalla Juma Khamis, akiwatamulisha wajumbe wa Taasisi ya Viwango Zanziba… Read More...
Mhe. Balozi Masilingi awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Mexico
Tarehe 11 Aprili, 2017, Mhe. Balozi Wilson Mutaganywa Kajumula Masilingi aliwasilisha hati za utambulisho kwa Mhe. Enrique Peña Nieto, Rai… Read More...
RAY na Mama Kanumba Kimenuka....
Mama mzazi wa aliyekuwa nyota wa filamu bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa siku ya kumbukumbu ya mwanaye makaburini Kinond… Read More...
0 Response to "AWESO AFANYA ZIARA RUANGWA NA NACHINGWEA -LINDI"
Post a Comment