TCRA YATANGAZA KUWACHUKULIA HATUA WAVUNJIFU WA MAADILI KATIKA MITANDAO

TCRA YATANGAZA KUWACHUKULIA HATUA WAVUNJIFU WA MAADILI KATIKA MITANDAO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TCRA YATANGAZA KUWACHUKULIA HATUA WAVUNJIFU WA MAADILI KATIKA MITANDAO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TCRA YATANGAZA KUWACHUKULIA HATUA WAVUNJIFU WA MAADILI KATIKA MITANDAO
kiungo : TCRA YATANGAZA KUWACHUKULIA HATUA WAVUNJIFU WA MAADILI KATIKA MITANDAO

soma pia


TCRA YATANGAZA KUWACHUKULIA HATUA WAVUNJIFU WA MAADILI KATIKA MITANDAO

Na Khadija Seif,Globu ya jamii

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) imesema haitasita kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wale wote wanaopotosha jamii na vitendo vya uvunjifu wa maadili ya kitanzania kwa kujirekodi na kisha kusambaza picha za video za utupu mtandaoni.

Akizungumza leo Dar es salaam Mkurugenzi wa TCRA Joannes Karungura amesema kutokana na video inayosambaa kwa sasa nchini ikimuhisha msanii wa filamu nchini Wema Sepetu imeamua kumfikisha mahakamani ili asomewe shtaka linalomkabili na kwamba huo ni mwanzo tu kwani wote ambao wanaokiuka maadili mitandaoni watachukuliwa hatua za kisheria.

Aidha Karungura amebainisha kuwa sheria zitaendelea kufuatwa na kwa yoyote atakayekiuka maadili ya kitanzania kama alivofanya Wema 
Sepetu na wengine ambao kesi zao ziko Kwenye taratibu kufikishwa 
mahakamani basi watatumikia kifungo cha miaka Saba au kutoa faini 
ya Sh.millioni saba.

Ametoa mwito kwa Watanzania kuwa ni wajibu wa kila mmoja kuhakikisha jamii yetu inakua na maadili,tabia njema pamoja na desturi nzuri ili kukijenga kikazi cha kesho na vinavokuwa maadili mazuri na hofu ya kutokufanya vitendo viovu.

Pia amewataka watu wenye picha pamoja na video chafu kufuta mara 
moja kwani TCRA wana mikakati mizito kwa watu ambao wanahifadhi 
pamoja na wanaosambaza picha hizo kuwafikisha Kwenye sheria 
ichukue mkondo wake.


Hivyo makala TCRA YATANGAZA KUWACHUKULIA HATUA WAVUNJIFU WA MAADILI KATIKA MITANDAO

yaani makala yote TCRA YATANGAZA KUWACHUKULIA HATUA WAVUNJIFU WA MAADILI KATIKA MITANDAO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TCRA YATANGAZA KUWACHUKULIA HATUA WAVUNJIFU WA MAADILI KATIKA MITANDAO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/11/tcra-yatangaza-kuwachukulia-hatua.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "TCRA YATANGAZA KUWACHUKULIA HATUA WAVUNJIFU WA MAADILI KATIKA MITANDAO"

Post a Comment