title : TANZIA
kiungo : TANZIA
TANZIA
Prof. Cuthbert Kimambo wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Tanzania, anasikitika kutangaza kifo cha Baba yake Mdogo Profesa Isaria Kimambo kilichotokea nyumbani kwake Makongo juu 2/11/2018.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Makongo Juu. Mazishi yanatarajiwa kufanyika kijijini kwa Marehemu Manambeni Mbokomu Moshi 8/11/2018. Habari ziwafikie Askofu wa Kanisa la kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT.Dr Frederick Shoo.
Wanajumuia wote wa Vyuo Vikuu alipo wahi kufanya Kazi ,Majairani wana Ukoo wote wa Kimambo popote walipo.
Hivyo makala TANZIA
yaani makala yote TANZIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala TANZIA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/11/tanzia.html
0 Response to "TANZIA"
Post a Comment