TAASISI YA IMETOSHA YATOA MSAADA KWA MWENYE UALBINO ALIYEPATA UPOFU WA MACHO SHINYANGA

TAASISI YA IMETOSHA YATOA MSAADA KWA MWENYE UALBINO ALIYEPATA UPOFU WA MACHO SHINYANGA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TAASISI YA IMETOSHA YATOA MSAADA KWA MWENYE UALBINO ALIYEPATA UPOFU WA MACHO SHINYANGA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TAASISI YA IMETOSHA YATOA MSAADA KWA MWENYE UALBINO ALIYEPATA UPOFU WA MACHO SHINYANGA
kiungo : TAASISI YA IMETOSHA YATOA MSAADA KWA MWENYE UALBINO ALIYEPATA UPOFU WA MACHO SHINYANGA

soma pia


TAASISI YA IMETOSHA YATOA MSAADA KWA MWENYE UALBINO ALIYEPATA UPOFU WA MACHO SHINYANGA

Taasisi ya Imetosha ya Jijini Dar es salaam imemtembelea na kumpatia msaada bwana Charles Kulwa Jagadi (41) mwenye Ualbino mkazi wa kijiji cha Mhunze kata ya Kishapu wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga ambaye amepata upofu wa macho kutokana na ugonjwa wa saratani ya macho unaomsumbua uliopelekea jicho moja kung’olewa.

Mtendaji Mkuu wa Imetosha Foundation,Henry Mdimu aliyefika nyumbani kwa Jagadi leo Jumapili Novemba 11,2018 amesema taasisi yake imeguswa na hali ngumu ya maisha anayopitia Jagadi hivyo kuamua kumjengea kibanda cha kufanyia biashara ya mkaa ili kumsaidia katika maisha yake.
Alisema Imetosha Foundation kwa kushirikiana na Dar Marathon Club ya jijini Dar es salaam wameamua kuchangishana fedha kwa ajili ya kumsaidia Jagadi ili aweze kuendesha familia yake yenye watoto sita wote wakiwa na ualbino.

“Niliona picha ya Jagadi mtandaoni,baada ya mmoja wa watu wenye mapenzi mema kuipost kuonesha jinsi ndugu yetu anavyopitia wakati mgumu baada ya kupata upofu wa macho,nimeamua kuja kumuona na tayari tumemjengea kibanda kwa ajili ya kufanyia biashara ya mkaa ambayo amekuwa akifanya ili kupata kipato kuendesha familia yake”,alieleza Mdimu.
Mtendaji Mkuu wa Imetosha Foundation,Henry Mdimu (wa pili kulia) akijitambulisha kwa Charles Kulwa Jagadi (kulia).Wa kwanza kushoto ni mke wa Jagadi Esther Shija akifuatiwa na Mratibu wa Imetosha Foundation Kanda ya Ziwa,Janeth Chijanga.

“Nimetoka Dar es salaam kuja kumuona na kujionea hali halisi ya maisha yake,huyu ni baba mwenye mke na watoto sita,sasa haoni,tunaamini kibanda hiki kitamsaidia kuingiza kipato ili kuisaidia familia hii”,aliongeza Mdimu.

Alisema pia wamempatia magunia 18 ya mkaa kwa ajili ya biashara na kuahidi kuwasomesha watoto wawili kati ya 6 na kuahidi kutafuta kiwanja kwa ajili ya kuijengea nyumba familia hiyo ambayo inaishi kwenye nyumba ya kupanga.

BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI ZAIDI


Hivyo makala TAASISI YA IMETOSHA YATOA MSAADA KWA MWENYE UALBINO ALIYEPATA UPOFU WA MACHO SHINYANGA

yaani makala yote TAASISI YA IMETOSHA YATOA MSAADA KWA MWENYE UALBINO ALIYEPATA UPOFU WA MACHO SHINYANGA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TAASISI YA IMETOSHA YATOA MSAADA KWA MWENYE UALBINO ALIYEPATA UPOFU WA MACHO SHINYANGA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/11/taasisi-ya-imetosha-yatoa-msaada-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TAASISI YA IMETOSHA YATOA MSAADA KWA MWENYE UALBINO ALIYEPATA UPOFU WA MACHO SHINYANGA"

Post a Comment