MBUNGE WA LIWALE ASEMA HUU SASA NI MUDA WA KUFANYA KAZI,AWASHUKURU WANANCHI

MBUNGE WA LIWALE ASEMA HUU SASA NI MUDA WA KUFANYA KAZI,AWASHUKURU WANANCHI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MBUNGE WA LIWALE ASEMA HUU SASA NI MUDA WA KUFANYA KAZI,AWASHUKURU WANANCHI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MBUNGE WA LIWALE ASEMA HUU SASA NI MUDA WA KUFANYA KAZI,AWASHUKURU WANANCHI
kiungo : MBUNGE WA LIWALE ASEMA HUU SASA NI MUDA WA KUFANYA KAZI,AWASHUKURU WANANCHI

soma pia


MBUNGE WA LIWALE ASEMA HUU SASA NI MUDA WA KUFANYA KAZI,AWASHUKURU WANANCHI

Na Humphrey Shao,Globu ya Jamii Dodoma

MBUNGE wa  Lilwale kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)Zuberi Kuchauka amesema huu sasa ni muda wa  kufanya kazi na  kutekeleza Ilani ya Chama hicho kwa kasi  ya Rais Dk.John Magufuli katika jimbo  lake.

Kuchauka amesema hayo Mjini  Dodoma ambapo anashiriki Bunge la  11 ,kikao cha 13 mara baada ya kuapishwa kuwa Mbunge kwa tiketi ya CCM.

"Nawashukuru wananchi wa  Liwale kwa kuendelea kuniamini katika kipindi kingine nikiwa ndani ya CCM.Mnakumbuka nilikuwa upinzani na kisha kujiunga CCM na leo ni mbunge kupitia chama hicho.Nawashukuru wananchi kwa kuendelea kuniamini.

" Niwahaidi wakazi wa  Liwale kuwa sitowaangusha katika miaka miwili iliyobaki.Nitashirikiana nanyi katika kuhakikisha jumbo letu linapata maendeleo kwa kasi,"amesema Kuchauka

Amesema kuwa katika miaka hii miwili ambayo imebaki  atahakikisha anaendeleza pale alipoishia kwani uwanja ni ule ule na kilichobadilika ni timu ambayo amejiunga nayo ambayo ni sahihi kwa kuleta maendeleo ya Jimbo la Liwale.

Amefafanua  yeye ni Mbunge wa  CCM na  Serikali iliyopo madarakani ni ya CCM chini  ya Rais Dk. Magufuli ambaye msimamo wake ni kusaidia watu maskini na  kuchapa kazi kwa  bidii.

Pia ameshukuru viongozi wa CCM pamoja na wananchi wote kwa kumuamini na  kurudi kugombea tena katika uchaguzi Mdogo na hatimaye kuibuka na ushindi.
MBUNGE wa  Lilwale kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Zuberi Kuchauka  alipofanya mahojiano mafupi na Michuzi TV jijini Dodoma.


Hivyo makala MBUNGE WA LIWALE ASEMA HUU SASA NI MUDA WA KUFANYA KAZI,AWASHUKURU WANANCHI

yaani makala yote MBUNGE WA LIWALE ASEMA HUU SASA NI MUDA WA KUFANYA KAZI,AWASHUKURU WANANCHI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MBUNGE WA LIWALE ASEMA HUU SASA NI MUDA WA KUFANYA KAZI,AWASHUKURU WANANCHI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/11/mbunge-wa-liwale-asema-huu-sasa-ni-muda.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MBUNGE WA LIWALE ASEMA HUU SASA NI MUDA WA KUFANYA KAZI,AWASHUKURU WANANCHI"

Post a Comment