Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Azungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamino.

Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Azungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamino. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Azungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamino., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Azungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamino.
kiungo : Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Azungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamino.

soma pia


Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Azungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamino.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,  Dkt. Bilinith Mahenge wakati alipozungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Chamwino kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisoma majina ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino  ambao hawaishi kwenye Kituo chao cha kazi cha Chamwino badala yake wanaishi jijini Dodoma. Alikuwa akizungumza na watumishi wa Halmashauri hiyo kwenye viwanja  vya Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Chamwino
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Chamwino,    Vumilia Nyamoga ordha ya watumishi  ambao hawaishi kwenye  kituo chao cha kazi cha Chamwino na badala yake wanaishi jijini Dodoma. Alikuwa katika mazungumzo na watumishi  wa Halmashauri  hiyo kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo
Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati  alipozungumza nao kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo,
Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati  alipozungumza nao kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo,
Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya  Chamwino wakimshangilia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, wakati alipowasili kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo kuzungumza na watumishi hao, Oktoba 20, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Hivyo makala Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Azungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamino.

yaani makala yote Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Azungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamino. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Azungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamino. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/waziri-mkuu-mhe-kassim-majaliwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Azungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamino."

Post a Comment