title : UMOJA WA ULAYA YATOA BILIONI 256 KUSAIDIA SEKTA YA KILIMO.
kiungo : UMOJA WA ULAYA YATOA BILIONI 256 KUSAIDIA SEKTA YA KILIMO.
UMOJA WA ULAYA YATOA BILIONI 256 KUSAIDIA SEKTA YA KILIMO.
Balozi wa Umoja wa Ulaya wakipiga sahihi ya makubaliano ya kutoa Msaada wa bilioni 265 kwa ajili ya kusaidia sekta ya Kilimo hapa nchini.
Umoja wa Ulaya umetoa msaada wa bilioni 265 kwa serikali ya Tanzania kwa ajili ya kusaidia sekta ya Kilimo katika hapa nchini.
Msaada huo umelenga kuboresha maeneo mbalimbali ikiwemo kuboresha sera, sheria na biashara katika sekta ya Kilimo, kuendelea zao la chai, kahawa pamoja na mbogamboga.
Hata hivyo imeeleza kuwa pia fedha hizo zitatumika kutengeneza km 23I za barabara maeneo mbapo kutakuwa na mradi huo.
Hivyo makala UMOJA WA ULAYA YATOA BILIONI 256 KUSAIDIA SEKTA YA KILIMO.
yaani makala yote UMOJA WA ULAYA YATOA BILIONI 256 KUSAIDIA SEKTA YA KILIMO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala UMOJA WA ULAYA YATOA BILIONI 256 KUSAIDIA SEKTA YA KILIMO. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/umoja-wa-ulaya-yatoa-bilioni-256.html
0 Response to "UMOJA WA ULAYA YATOA BILIONI 256 KUSAIDIA SEKTA YA KILIMO."
Post a Comment