TANZIA: MSANII WA MAIGIZO NCHINI, MASHAKA AMEFARIKI DUNIA

TANZIA: MSANII WA MAIGIZO NCHINI, MASHAKA AMEFARIKI DUNIA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TANZIA: MSANII WA MAIGIZO NCHINI, MASHAKA AMEFARIKI DUNIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TANZIA: MSANII WA MAIGIZO NCHINI, MASHAKA AMEFARIKI DUNIA
kiungo : TANZIA: MSANII WA MAIGIZO NCHINI, MASHAKA AMEFARIKI DUNIA

soma pia


TANZIA: MSANII WA MAIGIZO NCHINI, MASHAKA AMEFARIKI DUNIA

Na.Khadija Seif, Globu ya Jamiii.

Aliyewahi kuwa Msanii wa maigizo wa Kundi la Kaole Ramadhani Ditopile maarufu kama Mashaka amefariki dunia mapema Leo asubuhi katika hospitali ya Amana jijini Dar es salaam.

Aidha marehemu Mashaka aliwahi kuonekana kwenye maigizo akishirikiana na waigizaji kama mama Ambiliki,  Cheni, Kisa ,Zawadi akiwa ameshiriki maigizo kama fukuto,sayari, maisha na mingine mingi.

Akizungumza na  wanahabari msanii mwenzie Zawadi amethibitisha kifo hicho na kwa sasa haijafahamika shughuli za msiba zitafanyika wapi.

Na mpaka sasa familia ya marehemu imekaa Kwenye kikao na watatoa taarifa kamili kuhusu maziko ya marehemu mashaka.

Innallillah wahina illah rajuun.


Hivyo makala TANZIA: MSANII WA MAIGIZO NCHINI, MASHAKA AMEFARIKI DUNIA

yaani makala yote TANZIA: MSANII WA MAIGIZO NCHINI, MASHAKA AMEFARIKI DUNIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TANZIA: MSANII WA MAIGIZO NCHINI, MASHAKA AMEFARIKI DUNIA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/tanzia-msanii-wa-maigizo-nchini-mashaka.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TANZIA: MSANII WA MAIGIZO NCHINI, MASHAKA AMEFARIKI DUNIA"

Post a Comment