TAIFA STARS YAICHAPA CAPE VERDE NYUMBANI

TAIFA STARS YAICHAPA CAPE VERDE NYUMBANI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TAIFA STARS YAICHAPA CAPE VERDE NYUMBANI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TAIFA STARS YAICHAPA CAPE VERDE NYUMBANI
kiungo : TAIFA STARS YAICHAPA CAPE VERDE NYUMBANI

soma pia


TAIFA STARS YAICHAPA CAPE VERDE NYUMBANI

Mchezo wa kufuzu Mataifa Afrika (AFCON) 2019 nchini Cameroon baina  ya Tmu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' na Cape Verde  unaendelea hapa Uwanja wa Taifa.

Taifa Stars wanaongoza kwa goli mbili zilizofungwa na Mshambuliaji wa DifaaEl Jadida ya Morocco Saimon Msuva dakika ya 29 akipokea pasi ya Mshambuliaji wa GRC Genk Mbwana Samatta.

Mpaka Mapumziko Taifa Stars wanatoka kifua mbele kwa goli 1-0.

Katika kipindi cha Pili, Samatta anaipatia Taifa Stars goli la pili akimalizia pasi ya Mudathiri Yahya.

Taifa Stars walifanya mabadiliko ya kumtoa Abdi Banda na kuingia John Bocco, Mudathir nafasi yake ikichukuliwa na Feisal Toto
















Hivyo makala TAIFA STARS YAICHAPA CAPE VERDE NYUMBANI

yaani makala yote TAIFA STARS YAICHAPA CAPE VERDE NYUMBANI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TAIFA STARS YAICHAPA CAPE VERDE NYUMBANI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/taifa-stars-yaichapa-cape-verde-nyumbani.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TAIFA STARS YAICHAPA CAPE VERDE NYUMBANI"

Post a Comment