SMARTPHONE, JEZI NA TIKETI KUTOLEWA KWA WASHINDI WA SHINDA ZAIDI NA SPORTPESA

SMARTPHONE, JEZI NA TIKETI KUTOLEWA KWA WASHINDI WA SHINDA ZAIDI NA SPORTPESA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SMARTPHONE, JEZI NA TIKETI KUTOLEWA KWA WASHINDI WA SHINDA ZAIDI NA SPORTPESA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SMARTPHONE, JEZI NA TIKETI KUTOLEWA KWA WASHINDI WA SHINDA ZAIDI NA SPORTPESA
kiungo : SMARTPHONE, JEZI NA TIKETI KUTOLEWA KWA WASHINDI WA SHINDA ZAIDI NA SPORTPESA

soma pia


SMARTPHONE, JEZI NA TIKETI KUTOLEWA KWA WASHINDI WA SHINDA ZAIDI NA SPORTPESA

Na Khadija Seif, Blogu ya Jamii
KAMPUNI ya mchezo wa kubashiri ya sportpesa  imechezesha droo   ya 28 ya promosheni ya shinda zaidi na sportpesa, ambapo Amri Nicolas(28) kutoka Kigoma ameibuka mshindi wa Bajaji RE.

akizungumza na vyombo vya habari Mkurugenzi wa utawala na udhibiti wa sportpesa Abass Tarimba ameeleza kuwa kuna  ongezeko kubwa la zawadi Kwenye promosheni hiyo. 

Tarimba ameeleza kuwa  wachezaji wa sportpesa kupitia mitandao yote wana nafasi ya kushinda  zawadi mpya .

Amesema kuwa  zawadi hizo zikiwemo smartphone, jezi za klabu ya Simba au Yanga pamoja na tiketi ya kuhudhuria mechi za ligi ya hispania na Uingereza kila mwezi.

Tarimba amesema kuwa  kutokana na ukubwa wa promosheni hiyo kwa sasa wameamua kuongeza zawadi zitakazotoka kila wiki na kila mwezi na
Ongezeko hilo la zawadi  limewekwa kwa lengo la kuhamasisha  wateja waweze kushiriki na kushinda zawadi mbalimbali kupitia mchezo huo wa kubashiri.

Amefafanua pia wateja waendelee kubashiri kwa wingi ili kujiweka Kwenye nafasi ya ushindi mnono ambapo unaweza kucheza kupitia mitandao yote, na mpaka sasa washindi kutoka Mikoa 13 wamepatikana ikiwemo Dar es salaam, Kigoma, Mwanza,Tanga, Singida, Ruvuma , Morogoro, Iringa, Kahama, Songwe, Mbeya, Pwani na Lindi. 
 Mkurugenzi wa utawala na udhibiti wa sportpesa Abass Tarimba(kulia) pamoja na  Mtangazaji wa Kipindi cha shinda  zaidi na SportPesa  Happiness Wandela(kushoto) wakionyesha Jezi ya Yanga kama zawadi kwa mshindi wa Promosheni ya Sinda na Sportpesa ambayo inatoa zawadi hizo zikiwemo smartphone, tiketi ya kuhudhuria mechi za ligi ya hispania na Uingereza kila mwezi.
 Mtangazaji wa Kipindi cha shinda  zaidi na SportPesa Happiness Wandela(kushoto) akizungumza na mmoja wa shindi wa shindano hilo leo. Kulia ni  Mkurugenzi wa utawala na udhibiti wa sportpesa Abass Tarimba


Hivyo makala SMARTPHONE, JEZI NA TIKETI KUTOLEWA KWA WASHINDI WA SHINDA ZAIDI NA SPORTPESA

yaani makala yote SMARTPHONE, JEZI NA TIKETI KUTOLEWA KWA WASHINDI WA SHINDA ZAIDI NA SPORTPESA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SMARTPHONE, JEZI NA TIKETI KUTOLEWA KWA WASHINDI WA SHINDA ZAIDI NA SPORTPESA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/smartphone-jezi-na-tiketi-kutolewa-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SMARTPHONE, JEZI NA TIKETI KUTOLEWA KWA WASHINDI WA SHINDA ZAIDI NA SPORTPESA"

Post a Comment