MATUKIO KATIKA PICHA SPIKA NDUGAI AKIWA KATIKA MISA MAALUMU YA KITAIFA YA KUMUOMBEA HAYATI BABA WA TAIFA LEO JIJINI TANGA

MATUKIO KATIKA PICHA SPIKA NDUGAI AKIWA KATIKA MISA MAALUMU YA KITAIFA YA KUMUOMBEA HAYATI BABA WA TAIFA LEO JIJINI TANGA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MATUKIO KATIKA PICHA SPIKA NDUGAI AKIWA KATIKA MISA MAALUMU YA KITAIFA YA KUMUOMBEA HAYATI BABA WA TAIFA LEO JIJINI TANGA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MATUKIO KATIKA PICHA SPIKA NDUGAI AKIWA KATIKA MISA MAALUMU YA KITAIFA YA KUMUOMBEA HAYATI BABA WA TAIFA LEO JIJINI TANGA
kiungo : MATUKIO KATIKA PICHA SPIKA NDUGAI AKIWA KATIKA MISA MAALUMU YA KITAIFA YA KUMUOMBEA HAYATI BABA WA TAIFA LEO JIJINI TANGA

soma pia


MATUKIO KATIKA PICHA SPIKA NDUGAI AKIWA KATIKA MISA MAALUMU YA KITAIFA YA KUMUOMBEA HAYATI BABA WA TAIFA LEO JIJINI TANGA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na waumini (hawapo kwenye picha) wa kanisa kuu la Mtakatifu Antoni wa Padua Jimbo katoliki la Tanga katika Misa Maalumu ya kitaifa ya kumuombea Hayati Baba wa Taifa iliyofanyika leo tarehe 14 Octoba, 2018 Jijini Tanga.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati)akiwa katika picha pamoja na wakimbiza mwenge wa uhuru katika tukio lililofanyika leo tarehe 14 Octoba, 2018 katika uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga, katika kuzima mwenge kitaifa
Waumini wa kanisa kuu la Mtakatifu Antoni wa Padua Jimbo katoliki la Tanga wakiwa katika Misa Maalumu ya kitaifa ya kumuombea Hayati Baba wa Taifa iliyofanyika leo tarehe 14 Octoba, 2018 Jijini Tanga.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiagana na Askofu Mkuu wa kanisa kuu la Mtakatifu Antoni wa Padua Jimbo katoliki la Tanga, Anthony Banzi baada ya kumalizika kwa Misa Maalumu ya kitaifa ya kumuombea Hayati Baba wa Taifa iliyofanyika leo tarehe 14 Octoba, 2018 Jijini Tanga.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (watatu kushoto) aongoza viongozi Mbali mbali wa kitaifa katika Misa Maalumu ya kitaifa ya kumuombea Hayati Baba wa Taifa iliyofanyika leo tarehe 14 Octoba, 2018 katika kanisa kuu la Mtakatifu Antoni wa Padua Jimbo katoliki la Tanga Jijini Tanga.(PICHA NA OFISI YA BUNGE


Hivyo makala MATUKIO KATIKA PICHA SPIKA NDUGAI AKIWA KATIKA MISA MAALUMU YA KITAIFA YA KUMUOMBEA HAYATI BABA WA TAIFA LEO JIJINI TANGA

yaani makala yote MATUKIO KATIKA PICHA SPIKA NDUGAI AKIWA KATIKA MISA MAALUMU YA KITAIFA YA KUMUOMBEA HAYATI BABA WA TAIFA LEO JIJINI TANGA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MATUKIO KATIKA PICHA SPIKA NDUGAI AKIWA KATIKA MISA MAALUMU YA KITAIFA YA KUMUOMBEA HAYATI BABA WA TAIFA LEO JIJINI TANGA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/matukio-katika-picha-spika-ndugai-akiwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MATUKIO KATIKA PICHA SPIKA NDUGAI AKIWA KATIKA MISA MAALUMU YA KITAIFA YA KUMUOMBEA HAYATI BABA WA TAIFA LEO JIJINI TANGA"

Post a Comment