MASHABIKI YA YANGA WAHOJI JEZI ZAO.

MASHABIKI YA YANGA WAHOJI JEZI ZAO. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MASHABIKI YA YANGA WAHOJI JEZI ZAO., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MASHABIKI YA YANGA WAHOJI JEZI ZAO.
kiungo : MASHABIKI YA YANGA WAHOJI JEZI ZAO.

soma pia


MASHABIKI YA YANGA WAHOJI JEZI ZAO.


Uongozi wa klabu ya Yanga umeibuka na kufunguka juu ya jezi zake kuwa zaidi ya moja jambo ambalo lilipelekea mashabiki na wadau kuanza kuhoji.

Kwa mujibu wa Kaimu Katibu Mkuu wa klabu, Omar Kaya, ameeleza kuwa wao wameamua kufanya hivyo kwasababu wamependa.

Kaya amesema hakuna mtu wa kuwashinikiza kufanya maamuzi hayo ya kuwa na jezi kwani ni jukumu lao kupanga.

Hatua hiyo imekuja mara baada ya Yanga kuonekana siku kadhaa zilizopita ikiwa na jezi za aina mbili za mazoezi na kuchezea mechi.

Kaya amesema waliamua kufanya hivyo na hakuna mtu yoyote atakayeweza kuwapangia mambo yao maana walikuwa na sababu zao.


Hivyo makala MASHABIKI YA YANGA WAHOJI JEZI ZAO.

yaani makala yote MASHABIKI YA YANGA WAHOJI JEZI ZAO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MASHABIKI YA YANGA WAHOJI JEZI ZAO. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/mashabiki-ya-yanga-wahoji-jezi-zao.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MASHABIKI YA YANGA WAHOJI JEZI ZAO."

Post a Comment