title : MAKAMU WA RAIS AENDELEA NA ZIARA WILAYANI KISARAWE
kiungo : MAKAMU WA RAIS AENDELEA NA ZIARA WILAYANI KISARAWE
MAKAMU WA RAIS AENDELEA NA ZIARA WILAYANI KISARAWE


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimu wananchi mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara za lami Kisarawe mjini, Makamu wa Rais yupo wilayani Kisarawe ikiwa sehemu ya ziara yake ya siku sita ya kukagua na kuhamasisha shughuli za kimaendeleo mkoani Pwani. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Kisarawe ,Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemeni Jafo mara baada ya kukagua ujenzi wa mradi wa tenki la maji litakalokuwa na uwezo wa kubeba lita milioni 6 katika eneo la Mnarani Kisarawe. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Hivyo makala MAKAMU WA RAIS AENDELEA NA ZIARA WILAYANI KISARAWE
yaani makala yote MAKAMU WA RAIS AENDELEA NA ZIARA WILAYANI KISARAWE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MAKAMU WA RAIS AENDELEA NA ZIARA WILAYANI KISARAWE mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/makamu-wa-rais-aendelea-na-ziara.html
0 Response to "MAKAMU WA RAIS AENDELEA NA ZIARA WILAYANI KISARAWE"
Post a Comment