Legal Services Facility yashiriki kuadhimisha wiki ya Asasi za Kiraia Dodoma

Legal Services Facility yashiriki kuadhimisha wiki ya Asasi za Kiraia Dodoma - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Legal Services Facility yashiriki kuadhimisha wiki ya Asasi za Kiraia Dodoma, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Legal Services Facility yashiriki kuadhimisha wiki ya Asasi za Kiraia Dodoma
kiungo : Legal Services Facility yashiriki kuadhimisha wiki ya Asasi za Kiraia Dodoma

soma pia


Legal Services Facility yashiriki kuadhimisha wiki ya Asasi za Kiraia Dodoma

 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt John Jingu ambaye pia ni mgeni rasmi katika ufunguzi wa wiki ya Azaki ya kiraia akipata maelezo juu  kutoka kwa Meneja Biashara na Mawasiliano wa Legal Service Facilty (LSF), Jane Matinde alipotembelea banda la maondesho kuona kazi mbalimbali zinazofanywa na watoa huduma wa msaada wa kisheria chini ya ufadhili wa LSF.
 Meneja Biashara na Mawasiliano wa Legal Service Facilty (LSF), Jane Matinde akimshukuru Raisi wa Foundation for Civil Society, Dr Tenga wakati alipotembele banda la Legal Services Facility (LSF) wakati wa ufunguzi wa wiki ya Azaki Tanzania. akishuhudia, Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt John Jingu
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt John Jingu ambaye pia ni mgeni rasmi katika ufunguzi wa wiki ya Azaki ya kiraia akisalimiana na moja ya watoa huduma za msaada wa kisheria (paralegal) wa mkoa wa Dodoma bwana Aggrey Masaga Wakati alipotembelea banda la maondesho kuona kazi mbalimbali zinazofanywa na watoa huduma wa msaada wa kisheria chini ya ufadhili wa LSF. Akishuhudia ni Meneja Biashara na Mawasiliano wa Legal Service Facilty (LSF), Jane Matinde.


Hivyo makala Legal Services Facility yashiriki kuadhimisha wiki ya Asasi za Kiraia Dodoma

yaani makala yote Legal Services Facility yashiriki kuadhimisha wiki ya Asasi za Kiraia Dodoma Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Legal Services Facility yashiriki kuadhimisha wiki ya Asasi za Kiraia Dodoma mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/legal-services-facility-yashiriki.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Legal Services Facility yashiriki kuadhimisha wiki ya Asasi za Kiraia Dodoma"

Post a Comment