KUSIKILIZA KERO ZA WALIMU IMESAIDIA KUJENGA ARI YA KUFUNDISHA

KUSIKILIZA KERO ZA WALIMU IMESAIDIA KUJENGA ARI YA KUFUNDISHA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KUSIKILIZA KERO ZA WALIMU IMESAIDIA KUJENGA ARI YA KUFUNDISHA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KUSIKILIZA KERO ZA WALIMU IMESAIDIA KUJENGA ARI YA KUFUNDISHA
kiungo : KUSIKILIZA KERO ZA WALIMU IMESAIDIA KUJENGA ARI YA KUFUNDISHA

soma pia


KUSIKILIZA KERO ZA WALIMU IMESAIDIA KUJENGA ARI YA KUFUNDISHA





Na .John Luhende
Mwambawa habari
KATIKA kuwajengea uwezo  wa kufundisha  darasani walimu  wa shule za sekonari Wilayani Ilala , Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imeandaa utaratibu wa kusikiliza kero za walimu na kuzipatia majawabu ,pamoja na kuwapa mafunzo kwa vitendo ili kuboresha ufundishaji masomo ya sayansi kwa vitendo.

Hayo yamesemwa na Afisa elimu Sekondari  wilaya ya ilala Elizabeth Ngonyani alipokuwa katika mkutano na walimu wa Cluster ya Kimanga uliofanyika katika shule ya secondary Tambaza na kueleza kuwa  moja ya mambo yaliyokuwa yanachangia matokeo mabaya nipamoja na baadhi ya walimu hawakusoma masomo ya sayansi kwa vitendo.

“Tunao walimu mahili waliobobea katika kufundisha haondiyo watawafundisha walimu ambao hawakusoma masomo ya sayansi kwa vitendo ili nao wakafundishe wanafunzi  tuligundua kuwa baadhi ya walimu walikuwa hawaelewi kufundisha kwa vitendo na wengine walikuwa wakitumia muda mwingi kufundisha shule binafsi nao tumeongea nao wameacha wanaendelea kufundisha  sasa katika shule zetu” alisema

Aidha Ngonyani amesema moja ya kero za walimu ambazo zimefanyiwa kazi ni pamoja na kulipa  madai yao mbalimbali   na kuwapandisha madaraja  baada ya kusimama  kwa muda .

“Kwajumla kuu tumelipa shilingi million 246,324800  nakadritunavyo patafedha tutaendelea kuwalipa,  nahapa tunaongea nawalimu kuwafahamisha mambolimbali wafahamu kwamba serikali inafanyia kazi kero zao natupo hapa watumishi wote kutoka ofisi yangu utumishi na TSD kutatua kero zao “alisema 

Pamoja na hayo ametoa wito kwa walimu kufanya kazi kwa bidii  ilikuongeza ufaulu katika shule za Wilaya hiyo katika mtihani wa taifa unaotarajiwa kufanyika mwezi novemba mwakahuu.

“Niwaombe walimu  wa Ilala, hiikuona shule zetu zinakuwa za mwisho inatuumiza sana nawaomba wajitahidi wafundishe kilammoja amalize  mtaala wake haijalishi ni kidato cha ngapi kwamaana bila kumaliza mtaala  nivigumu kufaulu, naomba pia walimu wakuu wawasimamie walimu kilammoja ahakikishe ana vitendeakazi “alisema .
Kwa upande waowanafunzi ,Ngonyani amewataka kusoma kwa bidii katika sikuzilizobaki kuelekea  mtihani wa taifa na waache kutegema kuiba mitihani bali wasome kinachofundishwa na walimu wao.


Hivyo makala KUSIKILIZA KERO ZA WALIMU IMESAIDIA KUJENGA ARI YA KUFUNDISHA

yaani makala yote KUSIKILIZA KERO ZA WALIMU IMESAIDIA KUJENGA ARI YA KUFUNDISHA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KUSIKILIZA KERO ZA WALIMU IMESAIDIA KUJENGA ARI YA KUFUNDISHA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/kusikiliza-kero-za-walimu-imesaidia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KUSIKILIZA KERO ZA WALIMU IMESAIDIA KUJENGA ARI YA KUFUNDISHA"

Post a Comment