HAJI MANARA ATOA ZAWADI YA JEZI NA MIPIRA KWA SHULE ZOTE ZA TANDALE

HAJI MANARA ATOA ZAWADI YA JEZI NA MIPIRA KWA SHULE ZOTE ZA TANDALE - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa HAJI MANARA ATOA ZAWADI YA JEZI NA MIPIRA KWA SHULE ZOTE ZA TANDALE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : HAJI MANARA ATOA ZAWADI YA JEZI NA MIPIRA KWA SHULE ZOTE ZA TANDALE
kiungo : HAJI MANARA ATOA ZAWADI YA JEZI NA MIPIRA KWA SHULE ZOTE ZA TANDALE

soma pia


HAJI MANARA ATOA ZAWADI YA JEZI NA MIPIRA KWA SHULE ZOTE ZA TANDALE

Na Khadija Seif ,Globu ya jamii

Msemaji wa timu ya Simba Haji Sunday Manara ametoa  zawadi ya jezi pamoja na mipira kwa shule zote za Kata ya Tandale na kutoa wito kwa wazazi kutowanyima fursa watoto wao ambao wanavipaji ili kuwa mfano mzuri kama alivofanya msanii huyo Daimond Platinum .

Aidha amewapa taarifa rasmi atashirikiana bega kwa bega kwa wana michezo wa kata hiyo kuanzisha michuano ya Tandale Cup na kutoa fedha ya taslim kwa mshindi wa kwanza shilingi million 1, na kwa mshindi wa pili na watatu .

Manara ametoa fursa kwa Wanafunzi wa ulemavu wa ngozi pamoja na viungo kuwalipia ada mwakani kwa Wanafunzi watakaoingia kidato cha kwanza na darasa la kwanza.


Hivyo makala HAJI MANARA ATOA ZAWADI YA JEZI NA MIPIRA KWA SHULE ZOTE ZA TANDALE

yaani makala yote HAJI MANARA ATOA ZAWADI YA JEZI NA MIPIRA KWA SHULE ZOTE ZA TANDALE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala HAJI MANARA ATOA ZAWADI YA JEZI NA MIPIRA KWA SHULE ZOTE ZA TANDALE mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/haji-manara-atoa-zawadi-ya-jezi-na.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "HAJI MANARA ATOA ZAWADI YA JEZI NA MIPIRA KWA SHULE ZOTE ZA TANDALE"

Post a Comment