title : BODABODA ZINAZOINGIA KATIKATI YA JIJI LA DAR SASA KUKIONA-KAMANDA MAMBOSASA
kiungo : BODABODA ZINAZOINGIA KATIKATI YA JIJI LA DAR SASA KUKIONA-KAMANDA MAMBOSASA
BODABODA ZINAZOINGIA KATIKATI YA JIJI LA DAR SASA KUKIONA-KAMANDA MAMBOSASA
Na Said Mwishehe,Globu ya jamii
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limeanza operesheni maalumu ya kukamata bodaboda zote zinazoingia katikati ya Jiji ambapo ndani ya saa 24 wamekamata pikipiki 104.
Hayo yamesemwa leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa wakati anazungumza na waandishi wa habari kuhusu operesheni ambazo wanazifanya.
Amefafanua Polisi wameanza operesheni ya kukamata waendesha bodaboda ambao wanaingia katikati ya mji wakati wamezuiliwa kuingia mjini.Kamanda Mambosasa amesema baadhi ya bodaboda ambazo zimekamatwa zimetokana na makosa ya kutovaa kofia ngumu kwa wanaoendesha,kupitia njia tofauti na utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa sheria na kupakia mishikaki.
"Ni marufuku bodaboda kuingia katikati ya Mji,hatuwezi kuacha hilo likaendelea kufanyika.Walishakatazwa kuingia katikati ya mji." Mbali ya kuwakamata wanaiongia mjini pia tunaendelea na operesheni ya kukamata bodaboda ambazo zinatumika kutenda matukio ya uhalifu.Pia tutakamata bodaboda ambazo wanaoziendesha wanashindwa kufuata sheria za usalama barabarani.
Hivyo makala BODABODA ZINAZOINGIA KATIKATI YA JIJI LA DAR SASA KUKIONA-KAMANDA MAMBOSASA
yaani makala yote BODABODA ZINAZOINGIA KATIKATI YA JIJI LA DAR SASA KUKIONA-KAMANDA MAMBOSASA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala BODABODA ZINAZOINGIA KATIKATI YA JIJI LA DAR SASA KUKIONA-KAMANDA MAMBOSASA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/bodaboda-zinazoingia-katikati-ya-jiji.html
0 Response to "BODABODA ZINAZOINGIA KATIKATI YA JIJI LA DAR SASA KUKIONA-KAMANDA MAMBOSASA"
Post a Comment