title : WAZIRI MKUU MAJALIWA AKUTANA NA NAIBU GAVANA WA JIMBO LA JIANGSU NCHINI CHINA
kiungo : WAZIRI MKUU MAJALIWA AKUTANA NA NAIBU GAVANA WA JIMBO LA JIANGSU NCHINI CHINA
WAZIRI MKUU MAJALIWA AKUTANA NA NAIBU GAVANA WA JIMBO LA JIANGSU NCHINI CHINA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Gavana wa Jimbo la Jiangsu nchini China, Bw. Guo Yuan Qiang kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo Beijing, Septemba 3, 2018. Waziri Mkuu yupo nchini China kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika - FOCAC. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Gavana wa Jimbo la Jiangsu nchini China, Bw. Guo Yuan Qiang (kushoto) kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo Beijing nchini China, Septemba 3, 2018. Waziri Mkuu yupo nchini China kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika - FOCAC. Kulia kwake ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Gavana wa Jimbo la Jiangsu nchini China, Bw. Guo Yuan Qiang kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo Beijing, Septemba 3, 2018. Waziri Mkuu yupo nchini China kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika - FOCAC. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hivyo makala WAZIRI MKUU MAJALIWA AKUTANA NA NAIBU GAVANA WA JIMBO LA JIANGSU NCHINI CHINA
yaani makala yote WAZIRI MKUU MAJALIWA AKUTANA NA NAIBU GAVANA WA JIMBO LA JIANGSU NCHINI CHINA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI MKUU MAJALIWA AKUTANA NA NAIBU GAVANA WA JIMBO LA JIANGSU NCHINI CHINA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/waziri-mkuu-majaliwa-akutana-na-naibu.html
0 Response to "WAZIRI MKUU MAJALIWA AKUTANA NA NAIBU GAVANA WA JIMBO LA JIANGSU NCHINI CHINA"
Post a Comment