TRC YAAHIDI KUSAIDIA MAENDELEO YA ELIMU WILAYA YA KISARAWE MKOANI PWANI - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TRC YAAHIDI KUSAIDIA MAENDELEO YA ELIMU WILAYA YA KISARAWE MKOANI PWANI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
TRC YAAHIDI KUSAIDIA MAENDELEO YA ELIMU WILAYA YA KISARAWE MKOANI PWANIkiungo :
TRC YAAHIDI KUSAIDIA MAENDELEO YA ELIMU WILAYA YA KISARAWE MKOANI PWANI
TRC YAAHIDI KUSAIDIA MAENDELEO YA ELIMU WILAYA YA KISARAWE MKOANI PWANI
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Jockate Mwegelo (wa nne kulia), Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania Ndugu Masanja Kadogosa (wa tatu kulia), wafanyakazi wa Wilaya ya Kisarawe, TRC pamoja na wawakilishi kutoka Mkandarasi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR Yapi Merkezi wakijadili namna ambavyo wanaweza kusaidia maendeleo ya Elimu wilayani Kisarawe katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Septemba 22. 2018.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania Ndugu Masanja Kadogosa (kulia) kwa niaba ya TRC akimuahidi mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Jokate Mwegelo (kushoto) kujenga Madarasa na kuchangia Vyakula ikiwemo Maharage, Mchele na Mafuta ya kupikia kwa wanafunzi walio kambini wakati wa Harambee ya kuchangia maendeleo ya Elimu katika Kampeni ya 'Tokomeza Ziro' iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Septemba 22, 2018. 
Picha ya pamoja baada ya mazungumzo
Hivyo makala TRC YAAHIDI KUSAIDIA MAENDELEO YA ELIMU WILAYA YA KISARAWE MKOANI PWANI
yaani makala yote TRC YAAHIDI KUSAIDIA MAENDELEO YA ELIMU WILAYA YA KISARAWE MKOANI PWANI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala TRC YAAHIDI KUSAIDIA MAENDELEO YA ELIMU WILAYA YA KISARAWE MKOANI PWANI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/trc-yaahidi-kusaidia-maendeleo-ya-elimu.html
Related Posts :
MADIWANI NA WATENDAJI KATA HALMASHAURI YA HANDENI WASHUARIWA KUHAKIKISHA WANASIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO INAYOFADHILIWA NA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOS)Madiwani na Watendaji wa kata wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni mkoani Tanga,wameshauriwa kuhakikisha wanasimamia vizuri miradi ya maendel… Read More...
NAIBU WAZIRI SHONZA AHIDI KUSIMAMIA MAADILI YA MTANZANIA
Na Eleuteri Mangi, WHUSM, Dodoma.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza ameahidi kushirikiana na Watend… Read More...
MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MELI YA MFALME WA OMAN
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiangalia vitabu akiongozana na Waziri wa Mafuta n… Read More...
SERIKALI YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA OPERASHENI NA MAWASILIANO YA DHARURA KWA AJILI YA KUFUATILIA MAAFA NCHINI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Jenista Mhagama akipata maelezo kutoka kwa Mrat… Read More...
TATIZO LA UMEME MTWARA NA LINDI: MAFUNDI WA TANESCO WAFANIKIWA KUWASHA MASHINE MOJA
NA K-VIS BLOG, MTWARA
SHIRIKA la Umeme nchini (Tanesco), limefanikiwa kukarabati mashine namba 6 iliyokuwa imeharibika na kuiwasha kwa aji… Read More...
0 Response to "TRC YAAHIDI KUSAIDIA MAENDELEO YA ELIMU WILAYA YA KISARAWE MKOANI PWANI"
Post a Comment