MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MELI YA MFALME WA OMAN

MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MELI YA MFALME WA OMAN - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MELI YA MFALME WA OMAN, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MELI YA MFALME WA OMAN
kiungo : MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MELI YA MFALME WA OMAN

soma pia


MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MELI YA MFALME WA OMAN

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiangalia vitabu akiongozana na Waziri wa Mafuta na Gesi wa Serikali ya Oman Dkt. Mohammed Bin Hamad Al Rumhy kwenye maonyesho yaliopo ndani ya meli ya Mfalme wa Oman inayojulikana kwa jina la Fulk Al Salamah iliyotia nanga kwenye Bandari ya Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiangalia akionyeshwa ubani na Waziri wa Mafuta na Gesi wa Serikali ya Oman Dkt. Mohammed Bin Hamad Al Rumhy alipotembelea maonyesho yaliopo ndani ya meli ya Mfalme wa Oman inayojulikana kwa jina la Fulk Al Salamah iliyotia nanga kwenye Bandari ya Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiangalia machapisho mbalimbali kulia ni Waziri wa Mafuta na Gesi wa Serikali ya Oman Dkt. Mohammed Bin Hamad Al Rumhy ambaye ameonoza ujumbe maalum uliokuja na  meli ya Mfalme wa Oman inayojulikana kwa jina la Fulk Al Salamah iliyotia nanga kwenye Bandari ya Dar es Salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na Waziri wa Mafuta na Gesi wa Serikali ya Oman Dkt. Mohammed Bin Hamad Al Rumhy pamoja na ujumbe wake mara baada ya kutembelea  meli ya Mfalme wa Oman inayojulikana kwa jina la Fulk Al Salamah iliyotia nanga kwenye Bandari ya Dar es Salaam.


Hivyo makala MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MELI YA MFALME WA OMAN

yaani makala yote MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MELI YA MFALME WA OMAN Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MELI YA MFALME WA OMAN mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/makamu-wa-rais-atembelea-meli-ya-mfalme.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MELI YA MFALME WA OMAN"

Post a Comment