MKUU wa Dar es Salaam Paul Makonda ametoa mwezi mmoja kwa kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kukamilisha miradi ya ujenzi ya DMDP

MKUU wa Dar es Salaam Paul Makonda ametoa mwezi mmoja kwa kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kukamilisha miradi ya ujenzi ya DMDP - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKUU wa Dar es Salaam Paul Makonda ametoa mwezi mmoja kwa kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kukamilisha miradi ya ujenzi ya DMDP, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKUU wa Dar es Salaam Paul Makonda ametoa mwezi mmoja kwa kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kukamilisha miradi ya ujenzi ya DMDP
kiungo : MKUU wa Dar es Salaam Paul Makonda ametoa mwezi mmoja kwa kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kukamilisha miradi ya ujenzi ya DMDP

soma pia


MKUU wa Dar es Salaam Paul Makonda ametoa mwezi mmoja kwa kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kukamilisha miradi ya ujenzi ya DMDP

 Mkuu wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari juu ya agizo la mwezi mmoja kwa kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kukamilisha  miradi ya ujenzi barabara ya Chang`ombe wilayani Temeke na kwamba ikishindwa kutekeleza agizo la serikali itasitsha mkataba na haitapewa tenda tena katika  Mkoa Dar es Saĺaam.
 Mkuu wakoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda akiwa ameambatana  na mkuu wa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Felix Lyaniva,Mkurugenzi wa wilaya ya Temeke,Lusubilo Mwakabibi pamoja na Mkurugenzi wa Uzalishaji na Usambazaji wa Maji wa DAWASA, Mhadisi Aaron Joseph wakikangua mira mbalimbali inayojengwa na DMDP leo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Uzalishaji na Usambazaji wa Maji wa DAWASA, Mhandisi Aaron Joseph akifafanua kambo mbele ya Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda katika ziara ya kukangua miradi mbalimbali inayojengwa na DMDP leo katika ziara ya kukangua miradi ya mbalimbali wilaya ya Temeke.
Mafundi wakiendelea na kazi ya ujenzi barabara

Ukaguzi wa daraja
(Picha zote na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii)




Hivyo makala MKUU wa Dar es Salaam Paul Makonda ametoa mwezi mmoja kwa kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kukamilisha miradi ya ujenzi ya DMDP

yaani makala yote MKUU wa Dar es Salaam Paul Makonda ametoa mwezi mmoja kwa kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kukamilisha miradi ya ujenzi ya DMDP Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKUU wa Dar es Salaam Paul Makonda ametoa mwezi mmoja kwa kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kukamilisha miradi ya ujenzi ya DMDP mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/mkuu-wa-dar-es-salaam-paul-makonda.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MKUU wa Dar es Salaam Paul Makonda ametoa mwezi mmoja kwa kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kukamilisha miradi ya ujenzi ya DMDP"

Post a Comment