MAKONTENA YA RC MAKONDA YAANZA KUPIGWA MNADA BANDARINI DAR - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAKONTENA YA RC MAKONDA YAANZA KUPIGWA MNADA BANDARINI DAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
MAKONTENA YA RC MAKONDA YAANZA KUPIGWA MNADA BANDARINI DARkiungo :
MAKONTENA YA RC MAKONDA YAANZA KUPIGWA MNADA BANDARINI DAR
MAKONTENA YA RC MAKONDA YAANZA KUPIGWA MNADA BANDARINI DAR
Na Ripota Wetu, Globu ya jamii
MAKONTENA ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ambayo yamebeba samani za walimu yameanza kupigwa mnada.
Hatua ya kupiga mnada makontena hayo inakuja baada ya Rais Dk.John Magufuli kutoa maagizo ya kuhakikisha yanalipiwa kodi na ikishindikana yapigwe mnada.
Rais Dk.Magufuli alitoa kauli hiyo juzi akiwa mkoani Chato na sababu za kutoa ufafanuzi na maelekezo hayo baada ya kuona Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam analazimisha makontena hayo yatolewe bila kulipiwa kodi.
Hivyo leo makontena hayo yameanza kupigwa mnada kuanzia saa tatu ya asubuhi na unafanyika bandari ya Dar es Salaam upande wa Malawi Cargo.
Mnada huo tangu ulipoanza asubuhi unaendelea kufanyika hadi sasa.
Katika mnada huo wananchi, taasisi,mashirika na baadhi ya viongozi wa Serikali wamejitokeza kwa lengo la nununua samani zilizopo kwenye makontena hayo.
Hivyo makala MAKONTENA YA RC MAKONDA YAANZA KUPIGWA MNADA BANDARINI DAR
yaani makala yote MAKONTENA YA RC MAKONDA YAANZA KUPIGWA MNADA BANDARINI DAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MAKONTENA YA RC MAKONDA YAANZA KUPIGWA MNADA BANDARINI DAR mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/makontena-ya-rc-makonda-yaanza-kupigwa.html
Related Posts :
ABBAS TARIMBA AZIONYA SIMBA NA YANGA, AZITAKA KUACHA MZAHA KATIKA MICHUANO YA SPORTPESA
Na Said Mwishehe,Globu ya jamii
MKURUGENZI wa Uendeshaji wa SportPesa nchini Tanzania Tarimba Abbas amezionya timu za Tanzania hasa timu z… Read More...
MH. JOB LUSINDE: MZALENDO NA MWANADIPLOMASIA MWENYE UADILIFU WA HALI YA JUU NA WAZIRI PEKEE WA BARAZA LA KWANZA LA MAWAZIRI ALIYE HAI!!!
1. Usuli:
Mh. JOB MALECELA LUSINDE, ambaye ni ndugu wa Mh. JOHN SAMWEL CIGWEYIMISI MALECELA, alizaliwa huko Kikuyu, Idodomia tarehe … Read More...
Bodi ya mikopo ya wanafunzi yatangaza utaratibu huu kwa walipa mikopo
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, HESLB imekuja na mfumo mpya wa kielektoniki wa ulipaji madeni ya waliyokuwa wanufaika w… Read More...
RAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA BODI YA WAKURUGENZI WA ZBC NA UONGOZI IKULU LEO
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Sh… Read More...
WAZIRI LUGOLA AWAONGOZA WATENDAJI WAKUU WA WIZARA YAKE KIKAO CHA KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA, JIJINI DODOMA LEO
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto), akiweka sawa taarifa zake kabla ya kuziwasilisha katika Kikao cha Wajumbe wa Kama… Read More...
0 Response to "MAKONTENA YA RC MAKONDA YAANZA KUPIGWA MNADA BANDARINI DAR"
Post a Comment