title : KUMBILAMOTO AANGUSHA NG'OMBE KUWASHUKURU WAPIGAKURA VINGUNGUTI.
kiungo : KUMBILAMOTO AANGUSHA NG'OMBE KUWASHUKURU WAPIGAKURA VINGUNGUTI.
KUMBILAMOTO AANGUSHA NG'OMBE KUWASHUKURU WAPIGAKURA VINGUNGUTI.
Na John Luhende
Mwamba wa habari
Diwani wa Vingunguti Omary Said Kumbilamoto amewashukuru wananchi na wapigakura wa kata hiyo kwa kumchagua tena kuwa Diwani wa kata hiyo baada ya kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM akitokea Chama cha wananchi CUF .
Kumbilamoto ametoa shukrani hizoleo katika makao makuu ya CCM kata ya Vingunguti alipo kuwa amweaandalia sherehe ya shukrani wananchi waliomuungamkono na kusema kuwa sasa kilicho baki ni kuwatumikia wananchi hao na kwamba hanachakuwalipa ila shukrani .
Aidha amesema baadaya uchaguzi kumalizika sasa nikufanyakazi kutimiza ahadi alizo waahidi wananchi wa katahiyo ikiwemo kutatua kero za babara,Afya maji ,Elimu na Maji ambazo ndizo zinzonekana kuwa changamoto katika eneo hilo.
‘’Nashukuru kazi ya ujenzi wa barabara ya kwamnyamani inakaribia kumalizika nilipamabanasana ili ijengwe ujenzi wamachinjio ya kisasa ya vingunguti nayo karibuni ujenzi unaanza pamoja na barabara ya barakuda na mchakato wa kuomba pesa kwa TARURAukokaribu kukamilika ,lakini pia wataalamu wanafanya tathimini ya kuonagharama kiasi gani ya umeme utatumika ili tuweze kuwa taaza barabara zetu za mtaa’’ alisema.
Kwaupande wake Mbunge wa Ukonga Mwita Waitara ambaye naye alichaguliwa katika uchaguzi uliofanyika tarehe 16 septemba amempongeza Diwani Kumbilamoto kwa kuchaguliwa na kwakuwajali wananchi wake kwa kulanao chakula na kuwashukuru na kuahidi kutoa ushirikianao ilikuweza kuwaletea wananchi wa vinguti na Ilala kwa pamoja.
‘’ Tumechaguliwa na wananchi ili tuwatumikie ndugu wananchi wa Vingunguti nawahidi katika kuleta maendeleo ya Manispaa yetu ya Ilala mimi na diwani wenu tutashirikiana katika mambo ya maendeleo najua bado mnazochangamoto nyingi kama sisi huko Ukonga lakini tutazitatua mojamoja hadi ziishe’’ alisema.
Nao baadi ya wananchi wakatahiyo walifika tika sherehe hiyo wamesema wamekuwa na madiwani wengi waliopita katika katahiyo lakini Kumbilamoto ni mtu mwenye moyo watofauti na nimmtu anaye jail waytu wake anashiriki katika matatizo yao na hata katika mazuri pia amekuwani mtu ambaye yuko kutumika ,kutoaushauri na msaada kwa muda wote.
‘’Ametuchinjia Ng’ombe tumekula naye tumejipongeza kwa ushindi na amaetuambia kuwa sasa ni mwanzo mpya mwingine wa kutuwakilisha , sisitunaahiditu kumpaushirkiano na tunaimani naye, hatawewe ndugu mwandishi kama ulivyo uona umati huu niishara ya kuwa Diwani wetu anakubalika na watu wa vyama vyote hawawengine wilikua humu ni wapinzani lakini kwa Kumbilamoto ni wote ni wamoja” alisema
Wananchi wakigawiwa chakula katika sherehe ya shukrani iliyo andaliwa na Diwani wa Vingungti Omary Kumbilamoto .
Diwani wa Vingunguti Omary Kumbilamoto akitoa neno la shukrani kwa wananchi walio jumuika naye katika sherehe ambayo aliwaandaalia.
Hivyo makala KUMBILAMOTO AANGUSHA NG'OMBE KUWASHUKURU WAPIGAKURA VINGUNGUTI.
yaani makala yote KUMBILAMOTO AANGUSHA NG'OMBE KUWASHUKURU WAPIGAKURA VINGUNGUTI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala KUMBILAMOTO AANGUSHA NG'OMBE KUWASHUKURU WAPIGAKURA VINGUNGUTI. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/kumbilamoto-aangusha-ngombe-kuwashukuru.html
0 Response to "KUMBILAMOTO AANGUSHA NG'OMBE KUWASHUKURU WAPIGAKURA VINGUNGUTI."
Post a Comment