Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo Amnyuka Sam Eggington wa uingereza kwa KO

Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo Amnyuka Sam Eggington wa uingereza kwa KO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo Amnyuka Sam Eggington wa uingereza kwa KO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo Amnyuka Sam Eggington wa uingereza kwa KO
kiungo : Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo Amnyuka Sam Eggington wa uingereza kwa KO

soma pia


Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo Amnyuka Sam Eggington wa uingereza kwa KO

Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo mwenye umri wa miaka 23 amemtwanga bondia wa Uingereza Sam Egginton kwa K.O kwenye round ya 4  kwenye pambano lao la raundi 10 la kusindikiza mchezo baina ya  Amir Khan na  Samuel Vargas lililofanyika Jumamosi Septemba 8, 2018 katika ukumbi Arena Birmingham  (zamani Barclaycard Arena/NIA), mjini Birmingham kitongoji cha  West Midlands, Uingereza. Vyombo vya habari za ndondi vimeutaja ushindi wa kijana huyo wa Kitanzania kama wa kushtua  ikizingatiwa mpinzani wake ni bingwa wa mikanda kadhaa mikumbwa ya kimataifa. Kusoma zaidi BOFYA HAPA


Hivyo makala Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo Amnyuka Sam Eggington wa uingereza kwa KO

yaani makala yote Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo Amnyuka Sam Eggington wa uingereza kwa KO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo Amnyuka Sam Eggington wa uingereza kwa KO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/bondia-mtanzania-hassan-mwakinyo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo Amnyuka Sam Eggington wa uingereza kwa KO"

Post a Comment