title : WADAU WAOMBWA KUISAIDIA TABLE TENNIS
kiungo : WADAU WAOMBWA KUISAIDIA TABLE TENNIS
WADAU WAOMBWA KUISAIDIA TABLE TENNIS
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
Timu ya taifa ya tennis ya walemavu (Table Tennis) imeshindwa kusafirisha wachezaji wake kuelekea nchini Malaysia kutokana na uhaba wa fedha pamoja na vifaa ikiwemo viti (wheel chairs)
Kocha wa timu hiyo Riziki Salum amesema changamoto kubwa katika chama chao kumekuwa ni uhaba wa fedha unaopelekea kushindwa kuwasafirisha wachezaji wake kuelekea katika mashindano mbalimbali.
Riziki amesema, katika safari ya Malaysia wamempeleka mchezaji mmoja tu kwa ajili ya mashindano yaliyopo huko, wakati wanatakiwa wapeleke wachezaji japo wanne ili waweze .Amesema, kuna safari zingine ikiwemo ya Afrika Kusini ya Septemba 28 itahitajika kwenda kwa wachezaji wannne na gharama ni dola 400 kwa kila mmoja itakayotumika kwa ajili ya nauli ya kwenda na kurudi pamoja na malazi.
Ameongezea kuwa ndani ya mwaka huu kuna mashindano pia nchini Sweden, Ghana na Nigeria na gharama ya kusafirisha timu nzima inafikia dola 7000 ila watashindwa kuwasafirisha kutokana na ukata wa fedha.
Riziki amewaomba wadau wa table tennis kujitokeza kwa ajili ya kuisaidia timu yao kifedha ambapo kwa sasa wapo katika maandalizi kwenye kipindi hiki ili waweze kusafirisha timu nzima kuelekea Afrika kusini, Sweden, Ghana na Nigeria.
Timu ya taifa ya tennis ya walemavu (Table Tennis) imeshindwa kusafirisha wachezaji wake kuelekea nchini Malaysia kutokana na uhaba wa fedha pamoja na vifaa ikiwemo viti (wheel chairs)
Kocha wa timu hiyo Riziki Salum amesema changamoto kubwa katika chama chao kumekuwa ni uhaba wa fedha unaopelekea kushindwa kuwasafirisha wachezaji wake kuelekea katika mashindano mbalimbali.
Riziki amesema, katika safari ya Malaysia wamempeleka mchezaji mmoja tu kwa ajili ya mashindano yaliyopo huko, wakati wanatakiwa wapeleke wachezaji japo wanne ili waweze .Amesema, kuna safari zingine ikiwemo ya Afrika Kusini ya Septemba 28 itahitajika kwenda kwa wachezaji wannne na gharama ni dola 400 kwa kila mmoja itakayotumika kwa ajili ya nauli ya kwenda na kurudi pamoja na malazi.
Ameongezea kuwa ndani ya mwaka huu kuna mashindano pia nchini Sweden, Ghana na Nigeria na gharama ya kusafirisha timu nzima inafikia dola 7000 ila watashindwa kuwasafirisha kutokana na ukata wa fedha.
Riziki amewaomba wadau wa table tennis kujitokeza kwa ajili ya kuisaidia timu yao kifedha ambapo kwa sasa wapo katika maandalizi kwenye kipindi hiki ili waweze kusafirisha timu nzima kuelekea Afrika kusini, Sweden, Ghana na Nigeria.
Timu ya Taifa ya tennis ya walemavu (Table Tennis)
Hivyo makala WADAU WAOMBWA KUISAIDIA TABLE TENNIS
yaani makala yote WADAU WAOMBWA KUISAIDIA TABLE TENNIS Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WADAU WAOMBWA KUISAIDIA TABLE TENNIS mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/wadau-waombwa-kuisaidia-table-tennis_26.html
0 Response to "WADAU WAOMBWA KUISAIDIA TABLE TENNIS"
Post a Comment