Serikali Kuajiri Walimu 2000 wa Masomo ya Sayansi-Naibu waziri Kakunda

Serikali Kuajiri Walimu 2000 wa Masomo ya Sayansi-Naibu waziri Kakunda - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Serikali Kuajiri Walimu 2000 wa Masomo ya Sayansi-Naibu waziri Kakunda, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Serikali Kuajiri Walimu 2000 wa Masomo ya Sayansi-Naibu waziri Kakunda
kiungo : Serikali Kuajiri Walimu 2000 wa Masomo ya Sayansi-Naibu waziri Kakunda

soma pia


Serikali Kuajiri Walimu 2000 wa Masomo ya Sayansi-Naibu waziri Kakunda

Na. Ofisa Habari Mufindi 

Naibu Waziri Ofisi ya Rais (OR-TAMISEMI) Mhe Joseph Kakunda, amesema serikali ipo katika hatua a mwisho kukamilisha mchakato wa kuajiri waalimu 2000 wa masomo ya sayansi ili kupunguza changamoto ya uchache wa walimu wa kada hiyo katika shule za umma nchini

Mhe. Kakunda ameyasema hayo katika shule kongwe ya Sekondari Mdabulo, akiwa kwenye ziara ya kikazi Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi, baada ya Mkuu wa shule hiyo Bw. George Mgomba, kueleza changamoto ya uhaba wa walimu wa sayansi katika shule yake.

“Serikali kwa mwaka huu inaendelea na mchakato wa kuajiri walimu wa sayansi wapatao 2000 hivyo, taarifa yenu naichukua mwenyewe na kuipeleka kwa Mhe. Waziri Jafo, bila shaka walimu wawili 02 mnaowahitaji katika shule yenu mtawapata na hili nalibeba kwa ajili ya utekelezaji” alisisitiza Waziri Kakunda

Aidha, Mhe. Kakunda ameridhishwa na majengo mapya ya Shule hiyo iliyojengwa kwa mfumo wa “Force Account” kwa kuzingatia maelekezo ya kitaifa baada ya kujionea madarasa na mabweni mazuri hivyo, amesisitiza utaratibu uliotumika wa kujenga kwa njia ya Force Account uendeleee hata wakati wa mradi wa ujenzi wa mabweni utakapoanza, ambapo serikali tayari imetenga Jumla ya Tsh Milioni 100 kwa shule ya Sekondari Mdabulo.


Naibu waziri Kakunda, akiongozwa na Mkuu wa shule ya Sekondari Mdabulo kukagua madarasa na mabweni mapya yaliyojengwa SerikaliNaibu waziri Kakunda akizungumza na wananchi pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mdabulo.



Hivyo makala Serikali Kuajiri Walimu 2000 wa Masomo ya Sayansi-Naibu waziri Kakunda

yaani makala yote Serikali Kuajiri Walimu 2000 wa Masomo ya Sayansi-Naibu waziri Kakunda Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Serikali Kuajiri Walimu 2000 wa Masomo ya Sayansi-Naibu waziri Kakunda mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/serikali-kuajiri-walimu-2000-wa-masomo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Serikali Kuajiri Walimu 2000 wa Masomo ya Sayansi-Naibu waziri Kakunda"

Post a Comment