MPINA APIGA MARUFUKU UKAMATAJI HOLALA WA MIFUGO

MPINA APIGA MARUFUKU UKAMATAJI HOLALA WA MIFUGO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MPINA APIGA MARUFUKU UKAMATAJI HOLALA WA MIFUGO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MPINA APIGA MARUFUKU UKAMATAJI HOLALA WA MIFUGO
kiungo : MPINA APIGA MARUFUKU UKAMATAJI HOLALA WA MIFUGO

soma pia


MPINA APIGA MARUFUKU UKAMATAJI HOLALA WA MIFUGO

NA JOHN MAPEPELE, MOROGORO 

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina amepiga marufuku tabia ya ukamataji mifugo kiholela inayofanywa na baadhi ya watumishi wa umma na kusababisha mifugo mingi kufia mikononi mwa Serikali kwa kukosa huduma muhimu ikiwemo maji, malisho na matibabu na hivyo kusababisha hasara kubwa kwa wafugaji na Taifa kwa ujumla. 

Mpina amesema katika siku za hivi karibuni kumeibuka tabia ya baadhi ya watendaji wa Serikali kuendesha operesheni za kukamata mifugo na kuifungia bila kuipatia huduma muhimu ikiwemo maji, malisho na matibabu na matokeo yake mifugo mingi hufa na kusisitiza kuwa operesheni hizo zinapofanyika ni lazima zihusishe pia maofisa wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi ili kuwa na uelewa wa pamoja wa jambo hilo. 

Aidha Mpina alisema utaratibu unaofanyika hivi sasa wa kukamata hovyo mifugo ni ukiukwaji wa sheria namba 17 ya Magonjwa ya Wanyama ya mwaka 2003 na, Sheria ya Ustawi wa Wanyama Namba 19 ya Mwaka 2008 ambazo zinataka mifugo inapokamatwa kuzingatia masuala ya magonjwa na ustawi wa mifugo katika kipindi chote inapokuwa imeshikiliwa. 

Akifunga maonesho ya 25 ya Nane nane Kanda ya Mashariki inayojumuisha mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Pwani na Morogoro katika viwanja vya Mwalimu JK Nyerere mjini Morogoro kwa niaba ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Waziri Mpina pia alielezea kutoridhishwa na utoaji wa mikopo wa Benki ya Kilimo (TADB) ambapo kwa taarifa iliyotolewa sekta ya uvuvi hakuna mkopo wowote uliotolewa katika mwaka wa fedha uliopita huku upande wa sekta ya mifugo wakiambulia wajasiamali wanne tu . 



Hivyo makala MPINA APIGA MARUFUKU UKAMATAJI HOLALA WA MIFUGO

yaani makala yote MPINA APIGA MARUFUKU UKAMATAJI HOLALA WA MIFUGO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MPINA APIGA MARUFUKU UKAMATAJI HOLALA WA MIFUGO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/mpina-apiga-marufuku-ukamataji-holala.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MPINA APIGA MARUFUKU UKAMATAJI HOLALA WA MIFUGO"

Post a Comment