DC MJEMA KATIKA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA KACHANGIA UJENZI WA KITUOCHA POLISI MAJOHE.

DC MJEMA KATIKA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA KACHANGIA UJENZI WA KITUOCHA POLISI MAJOHE. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC MJEMA KATIKA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA KACHANGIA UJENZI WA KITUOCHA POLISI MAJOHE., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC MJEMA KATIKA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA KACHANGIA UJENZI WA KITUOCHA POLISI MAJOHE.
kiungo : DC MJEMA KATIKA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA KACHANGIA UJENZI WA KITUOCHA POLISI MAJOHE.

soma pia


DC MJEMA KATIKA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA KACHANGIA UJENZI WA KITUOCHA POLISI MAJOHE.

 Mwambawahabari 
Na John Luhende
Mkuu wa wilya ya Ilala Sophia MJEMA,   akiwa katika ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi ameahidi kutoa mifuko 15 ya Cement kwaajili ya kumalizia ujenzi wa Kituocha polisi cha Majohe ambapo ujenzi huo ulikwama kwa muda tangu mwaka 204. 
 Aidha DC Mjema ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama, ameutaka uongozi wa  kata hiyo kuwasilisha mahitaji yote ya kituohicho ili ofisi yake iweze kufanyia kazi kwaajili ya kukamilisha ujenzi wa kituohicho. 
 Kwa upande wake diwani  wa katakana ya Majohe Waziri Mwenevyale, ameahidi kujenga kench za jengohilo, na kumuomba DC Mjema kulitiliamkazo jambohilo ilikupunguza uhalifu katika eneo hilo. 

Katika hatua  nyingine DC Mjema ametembelea shule  ya msingi Majohe na kukagua mradi   wamaji ambapo wanafunzi wa shule hiyo wamepatanafasi ya kutoa kero zao wakiomba maji. 

Mara baada ya wanafunzi hao kutoa kero zao DC Mjema ameahidi kuwajengea  vyoo vinne kwaajili ya watoto wa kike ili wasikatishe masomo. 

Pamoja na hayo DC Mjema amewatakawananchi  hao kuwafichua wahamiaji haramu na waharifu wanaohatarisha amani kwa kuendesha vitendo vya wizi na ubakaji. 



Hivyo makala DC MJEMA KATIKA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA KACHANGIA UJENZI WA KITUOCHA POLISI MAJOHE.

yaani makala yote DC MJEMA KATIKA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA KACHANGIA UJENZI WA KITUOCHA POLISI MAJOHE. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC MJEMA KATIKA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA KACHANGIA UJENZI WA KITUOCHA POLISI MAJOHE. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/dc-mjema-katika-kuimarisha-ulinzi-na.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DC MJEMA KATIKA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA KACHANGIA UJENZI WA KITUOCHA POLISI MAJOHE."

Post a Comment